Recent content by reguly solver

  1. reguly solver

    Je, Mungu ana dini?

    ngoja nikwambie ..mung anayo din na yy ndio alieileta hii dini..na maana ya neno din ni mfumo wa maisha kwa kila mwanaadam alioletewa na mung ..kwaiyo din ya mungu ni uislam,..ndo din yke na na alioileta hpa.dunian pasina nyingne. sura ya 3:19
  2. reguly solver

    Steve Nyerere aongea na Wanahabari, amkaanga Wema Sepetu na Mama yake, Wasanii hawaidai CCM

    anajitahid kukanusha lkn ..tulishamuelewa before kwe audio ile
  3. reguly solver

    Mhe. Magufuli kama maigizo ya Makonda huyaoni, tutakuamini vipi kwenye vita ya ufisadi?

    hahaa hataree sana..ni mwaka wapil tu huu kila mtu yupo against nae
  4. reguly solver

    Baada ya Loans Board kufanya yao jana hii ndio tofauti ya Diploma na Degree kwa Walimu

    watu washavurugwa na life ww.acha kutisha na nidhan ya uoga we vp bhn..au hufanyi kaz nn mkuu..waachs watu wanamachung yao bhn..
  5. reguly solver

    Pretoria wakinukisha pia, wachoma nyumba za wahamiaji

    dah rufiji kwa wandengeleko .wachawi wale watu cjaona yan rufiji hatar sana.
  6. reguly solver

    Nakuuliza mbunge wa Tarime vijijini

    tarime vijijin km siko sei ni chadema eeh.eeh..bac km ni upinzan sahau cz kwan hujui utawala huu unaminya maendeleo kwamajimbo yanayoongozwa na upinzan..km hulijui ilo polee mkuu.
  7. reguly solver

    Ni kwanini kwa waswahili wengi tuna muonekano wa kichafu chafu hivi?

    sio nmeenza udin bt haya nayaona mkuu hasa kwa kina dada wa Christian so wako ivo.
  8. reguly solver

    Embe la Kunyonya......(Embe Nyonyo...)

    ningemwambia apunguze.mashauzi mtoa mada
  9. reguly solver

    Nimeamua niache kazi nikajiajiri

    kwann wasema ivo mkuu
  10. reguly solver

    Ni kwanini kwa waswahili wengi tuna muonekano wa kichafu chafu hivi?

    yah that's true mswahil msaf sana kuhusu mazingira ni hal ya uchumi tu.. ila point ya mwisho kuhusu kutumia maji choon baadh ya dada zetu hasa hawa Christian hupenda kutumia toilet paper cjui kwann au ndo wameiga mila za kimagharib kwa wazungu..inaboa kwakwel ndio mana magonjwa ya UTI kwa...
  11. reguly solver

    Serikali kusambaza umeme vijiji 8000 nchini

    tushawazoa..hao wazee wga matamko hewa vitendo F
  12. reguly solver

    Nimeamua niache kazi nikajiajiri

    saf..mkuu nadhan km unekuwa msim mzur wa hal ya hewa mkuu ungeenda tu bush ujichimbie ekga ekga ya mahind yko kwa laki tano upateyako inatosha na ukivuna una una km 1.5m had 8..kwa mawazo yng kwako.. n.cz ht mimi ndo nimetokea huko kimtindo jpo bdo cjafika napotaka ila jpo cjafika.ila ndio nipo...
  13. reguly solver

    Serikali imevifuta Vituo vyote vya huduma za Afya ya VVU na UKIMWI kwa watu wa makundi maalumu

    wizara lzm ibane bajeti hakuna fedha ya kuwalipa watoa/waendeshaji huduma hiyo..na usambazaji wa vifaa so..y[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] 9836288111000 kilichobaki
Back
Top Bottom