Nakuuliza mbunge wa Tarime vijijini

Nakuuliza mbunge wa Tarime vijijini

John Heche mbona sio mkimya bungeni mkuu, au hufuatilii bunge au ni mambo gani unataka ayazungumze na hajayazungumza?
Wewe dada wewe mwenzako anaongelea madndeleo jimbon kwao wewe umaleta habari za heche kupayuka hovyo hovyo bungen

Kupayuka hovyo hovyo kutamusaidia nini mwananchi anyetaka zahanati, tena kupayuka kwenyewe kutetea wauza ngada
 
kijana wawa2 anajitahd kuwa semea wanatarime tena bila woga,tatizo mambo meng huwez ona baada ya ban ya bunge live na magu maeneo meng ambayo upinzan umeshnda anapeleka vkwazo akisaidiana na 2lia pamoja na wasaidiz wake kuhakksha upinzan haulet maendeleo kama fmbo ya kuwaangusha 2020,ila kama kada lazma uungane na sizonje kulaum! njoo songea mjn uone uozo wa bwana tumbo! mj mchafu bara2 chache 2 za mitaa lkn ccm toka izaliwe songea mjn kama vle 2nduru huwez dhan kama n manispaa! huyu heche hana muda toka aingie madarakan lkn anaonekana anania ya kuwakomboa wanarorya tarime!
 
Wewe dada wewe mwenzako anaongelea madndeleo jimbon kwao wewe umaleta habari za heche kupayuka hovyo hovyo bungen

Kupayuka hovyo hovyo kutamusaidia nini mwananchi anyetaka zahanati, tena kupayuka kwenyewe kutetea wauza ngada
umemsoma alivysema amesema yupo kimya, nika muuliza mbona anaongea au haongei unayotaka aongee, na mambo yenyewe hajayataja specifically ni mambo gani haswa...
 
Umesomeka mkuu ila sijui kama John Heche yupo humu, kama una maswali zaidi kuhusiana na huyu mbunge kuna whats app group linaitwa Jambo Tarime utawapata viongozi walio wengi wa Tarime. Karibu sana tujumuike pamoja tuijenge Tarime yetu
Niunganishe kwenye hilo Group la jimbo la Tarime+0714 430 790
 
Mh. rudi jimboni kafanye mikutano uwaeleweshe wananchi wako wanakulilia huonekani .
 
Mkuu naibu spika haleti maendeleo jimboni kwa mbunge ila mbunge anauwezo wa kuhamasisha maendeleo jimboni kwake
Sasa kwa kumtimua bungeni na kumpa suspension heche pamoja na wenzake kina zitto na lisu huoni ilifanya wakose kuwasemea wananchi wa jimbo lao kwa kipindi kirefu?? Je hairudishi maendeleo nyuma ?? Na kama inarudisha hapo huoni spika naye anakuwa amehusika????
 
Sasa kwa kumtimua bungeni na kumpa suspension heche pamoja na wenzake kina zitto na lisu huoni ilifanya wakose kuwasemea wananchi wa jimbo lao kwa kipindi kirefu?? Je hairudishi maendeleo nyuma ?? Na kama inarudisha hapo huoni spika naye anakuwa amehusika????
Mkuu kuna vitu vinahitaji tuhamasishane kwa vitendo sio kwa maneno ya bungeni
 
Wewe dada wewe mwenzako anaongelea madndeleo jimbon kwao wewe umaleta habari za heche kupayuka hovyo hovyo bungen

Kupayuka hovyo hovyo kutamusaidia nini mwananchi anyetaka zahanati, tena kupayuka kwenyewe kutetea wauza ngada
Kwahyo akipiga kelele pesa za miradi ilioahidiwa na serikali ipelekewe nayo ni kupayuka??

Kupiga kelele kuhusu uwajibikaji wa serikali nayo ni kupayuka???

Kwa aina hii ya wananchi kufkia nchi ya viwanda na uchumi wa kati itabakia kwenye vitabu tu
 
Sasa ndio uite kupayuka??? Kwani kupambana serikali itimize wajibu wake ni kosa?? Hujui moja ya kazi za mbunge ni kuisimamia serikali??? Mnataka awahamasishe ila hamtaki bungeni aibane serikali kutimiza ahadi zake????
Mkuu unacho sema ni sahihi kumbuka kuna usemi unasema haki na wajibu wabunge wetu tulip nao wengi wanataka haki zao tu na hawatimizi wajibu
 
tarime vijijin km siko sei ni chadema eeh.eeh..bac km ni upinzan sahau cz kwan hujui utawala huu unaminya maendeleo kwamajimbo yanayoongozwa na upinzan..km hulijui ilo polee mkuu.
 
Dada yangu nimekwambia tu ukweli kuwa Heche sisi tunamtamani tuna Mbunge mzigo wa Ccm yani tunajuta

Yaani unaona anaitwa Kaka wewe tena ni Dada yako, haki ya Mungu atujui tena kati ya jinsi na jinsia labda yule Dr. Aliyeahidi akitoka likizo aje kuwapatanisha.
 
Back
Top Bottom