Mchagua kazi hufa masikini,pesa unayoipata kwa taabu ndio itayokufanikishia mambo yako,epuka kuajiriwa,acha kulalamika wawekezaji wanafanya kazi zinazoweza fanywa na watanzania,wakati mkizipewa mnasema maslai madogo.wakati bajeti yako unataka uishi jumba la maana,msosi wa 3000,bia 3,ukodi...