Bei za ndege kimataifa-Tupo juu KIA VS Nairobi

Bei za ndege kimataifa-Tupo juu KIA VS Nairobi

Kamundu

Platinum Member
Joined
Nov 22, 2006
Posts
9,615
Reaction score
15,024
Nimesikitika sana kuona gharama zetu za ndege za kimataifa zipo juu sana ukilinganisha na Kenya. Mfano kwa mwezi wa sita Bei ya ticket kutoka Hosuton-Nairobi ni $1,100 na kutoka Hosuton-KIA $1,700.

Gharama ya shuttle kutoka Nairobi mpaka Moshi mjini ni Tanzania sh 35,000-45,000 sio zaidi ya $20. Hivyo ukisafiki kwa kutumia KIA unalipa $500 kwa mtu mmoja kama una familia ni pesa nyingi sana extra.

Kuna wanaosema gharama za airport ni ngumu, wengine kodi zipo juu TZ lakini tunakosa sana biashara maana watu wanaanza kupitia Kenya zaidi.

Zamani tofauti ilikuwa kama $100-$250 lakini sasa imeongezeka sana. Ili tuweze kushindana na ukizingatia tuna hotel chache zaidi tuangalie hili kwa undani
 
Ngoja nijichange, ninunue iwe yangu binafsi.
 
Kujadili nauli ya ndege na usafiri Wa kijijini kwenu in bodaboda jua umaskini unakunyemelea
 
Bei ya ndege au bei ya tiketi ya kusafiria ndege? Kichwa na mwili wa habari haviendani.
 
Gharama za ndege kutua KIA zipo juu ndio maana watalii wengi wanatua Nairobi na kwenda kuchukuliwa na shuttle hilo nalo limechangia mapato mengi kubaki Kenya kwa watalii wa Tanzania...
 
Back
Top Bottom