Kila kitu kina sababu yake ya kutokea, nakitu chochote unachokiona kimetokea kupitia njia kuu nne
1. Ideal cause/sababu za fikra
2. Design cause/sababu za miundo/michoro ndio maana hata sayari zinamaumbo
3. Material cause/vifaa vya uundaji /utengenezaji
4. Purposeful cause/madhumuni yake
Ukujua...
Kutangaza ni muhimu ila sio lazima kwakuwa lugha is not a part of productivity which is generated through c ree activity thereafter increase economics capacity. Usiwemtumwa wakukalili mambo. Kwa taarifa ya Lugha ni sehemu ya utamaduni hivyo mheshimiwa anatangaza utamaduni asili wa Mtanzania na...
Ukiiangalia Tz ya mwaka95 inamisingi mikubwa ya Ujamaa na kujitegemea(socialism) ktk nyakati hizo na misingi hiyo kauli za Mwl. Jk Nyerere zinakuwa na mashiko makubwa(valid). Lakini Kipindi hiki nikingine yatupasa kutafakari upya swali moja la msingi "katika falsafa nchi yetu bado inaamini ktk...
nijambo jema sana ila jiulize kama ni miongoni mwa watakao kuwa na bahati kama hizi na kwa nn? baadhi ya mambo huwa ni ya msingi sana lakin je wanaguswa wanachi wangapi. kutembelea ni ukarimu kwa uliye mtembelea wakati kuboresha huduma za afya ni ukarimu kwa jamii
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.