Recent content by redashampu

  1. redashampu

    Fomu za kujiunga(Joining instruction) kwa shule mbalimbali za sekondari nchini

    JOINING INSTRUCTION YA LUPA HIGH SEC SCHOOLKwa walio changuliwa kujiunga kidato cha tano 2017/2018 Lupa high school, joining instruction inapatikana hapa.
  2. redashampu

    Rafiki yangu aliponiaibisha kwa kumtekenya dereva wa bodaboda!

    Kwani ukimwambia hilo linakudhuru nn
  3. redashampu

    Kupatwa kwa Jua: Sayansi imethibitisha Mungu hayupo

    "everything happen for a free reason" [emoji106] [emoji106]
  4. redashampu

    Kupatwa kwa Jua: Sayansi imethibitisha Mungu hayupo

    Kila kitu kina sababu yake ya kutokea, nakitu chochote unachokiona kimetokea kupitia njia kuu nne 1. Ideal cause/sababu za fikra 2. Design cause/sababu za miundo/michoro ndio maana hata sayari zinamaumbo 3. Material cause/vifaa vya uundaji /utengenezaji 4. Purposeful cause/madhumuni yake Ukujua...
  5. redashampu

    Naombeni ushauri nimekula pesa ya ada milioni mbili

    Acha shule, maana umekula hujatoa sababu ya kula, pengine ni makusudi.
  6. redashampu

    Kikwete kweli alikuwa wa Kimataifa: Umuhimu wa Lugha ya Kiingereza

    Kutangaza ni muhimu ila sio lazima kwakuwa lugha is not a part of productivity which is generated through c ree activity thereafter increase economics capacity. Usiwemtumwa wakukalili mambo. Kwa taarifa ya Lugha ni sehemu ya utamaduni hivyo mheshimiwa anatangaza utamaduni asili wa Mtanzania na...
  7. redashampu

    Watangazaji wanaokubalika katika Idhaa za Kiswahili

    Kuna yule anasauti kama. Mwaume sijui wa kike ansitwa humru heri sijui wa dw
  8. redashampu

    Tathimini ya siasa Bongo

    Ukiiangalia Tz ya mwaka95 inamisingi mikubwa ya Ujamaa na kujitegemea(socialism) ktk nyakati hizo na misingi hiyo kauli za Mwl. Jk Nyerere zinakuwa na mashiko makubwa(valid). Lakini Kipindi hiki nikingine yatupasa kutafakari upya swali moja la msingi "katika falsafa nchi yetu bado inaamini ktk...
  9. redashampu

    CCM wanajutia Escrow sasa wamesema lazima wawatimue wahusika!

    Safari moja huhazosha nyingine tunawaambia wananchi tunataka serikali Tatu wao wanataka 2 labda ndo wapiga kula wenyewe
  10. redashampu

    Unayotakiwa kuyajua kuhusu battery, chaja za simu na tablet

    hiyo ni elimu nzuri sana, kwa watu ambao ni "physician" kidogo wameweza hakiki elimu hiyo walau kiasi chake
  11. redashampu

    CHADEMA kuiteka Pwani

    nimeipenda hiyooooooooooo
  12. redashampu

    Tibaijuka: Hoja ya upinzani ni kelele

    wanajisahau kama hoja ni za nchi nasi za watu binafsi.
  13. redashampu

    Rais Kikwete amjulia hali mama mzazi wa Zitto Kabwe leo

    nijambo jema sana ila jiulize kama ni miongoni mwa watakao kuwa na bahati kama hizi na kwa nn? baadhi ya mambo huwa ni ya msingi sana lakin je wanaguswa wanachi wangapi. kutembelea ni ukarimu kwa uliye mtembelea wakati kuboresha huduma za afya ni ukarimu kwa jamii
  14. redashampu

    Kama majibu ya Waziri ndiyo haya,Walimu wa Tanzania tuna hali ngumu

    kweli bunge letu ni comedy tosha wala hunahaja ya kununua cd za vichekesho
Back
Top Bottom