amakyasya
JF-Expert Member
- Jun 26, 2013
- 3,480
- 918
Waziri wa ardhi na makazi Prof. Tibaijuka kasema alicheka wakati Mbowe anachangia kwa sababu eti sio hoja ni kelele.
Kauli hii ilimfanya spika Makinda amkatishe waziri aende kwenye hoja.
Na pia aliendelea kukatishwa baada ya kuonekana kutojibu hoja kwa kuendelea na kushambulia wapinzani.
Kauli hii ilimfanya spika Makinda amkatishe waziri aende kwenye hoja.
Na pia aliendelea kukatishwa baada ya kuonekana kutojibu hoja kwa kuendelea na kushambulia wapinzani.