Hii ndo TZ bhana.... Maamuz yanatolewa kwa chuki. Et wanadai hak zao, sasa kpo wap kwa alchokfanya lipumba au kwasabab sio clouds ya Boss luge alyetajwa ktk madawa?
Hii ndo TZ bhana.... Maamuz yanatolewa kwa chuki. Et wanadai hak zao, sasa kpo wap kwa alchokfanya lipumba au kwasabab sio clouds ya Boss luge alyetajwa ktk madawa?
Anaumri Wa 23 Years yupo ktk mahusiano kinachomsumbua n kwamba uume wa mpenz wake hauingii japo tayar utando Wa juu yan bikra alifanikiwa kuitoa cku za karibun. Na uume sio mkubwa pia anapata maumivu makal pale uume unapoingizwa kwenye uke. Wamejarb styl mbalmbal lakin wap,na huandaliwa vzur tu...
Naomba kuuliza kuhusu utaratibu wa kufatwa ktk mchakato wa kuunganisha cheti.Elimu ya sekondar nilimaliza 2011 nkapass baadh ya masomo nkarudia 2016 sasa nauliza jinsi ya kuunganisha hivyo vyet viwili tofaut mara baada vikitoka
Nmerisit Nmepata division 1 ya 17 kwa pass hz Histry Geog na Bios nmepata C Math kiswahil literature na english structure nmepata B na physics chemistry na civics nmepata D.Nahtaj kusoma CBG Je inawezekana?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.