Mbona waonekana kama una jazba xana vip?hatukatai wanafunz kupewa adhabu lakin ziwe adhabu zenye kiwango na co kumpiga mwanafunzi ngumi au mateke,hili lililotokea mbeya halikubaliki hata kidogo.
.
Niwazo zuri lakin unaonaje wewe uwe wa kwanza kutembea uchi mpaka kazin kwako ,pia uende sokon,na sehem unayoenda kufanya ibada,ujionee kama inakuwa poa nasi tutaanza huo mpango wa kurejea zama za mawe.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.