Likitokea hili 1/4 ndo watabaki kwenye ndoa

Likitokea hili 1/4 ndo watabaki kwenye ndoa

Baba yenu

JF-Expert Member
Joined
Jun 17, 2016
Posts
1,053
Reaction score
1,418
Ikitokea Mungu akaruhusu sahiz kuturudisha nyuma muda wa kuoa au akavunja ndoa hizi na kutaka watu waoe upya

Je utamuoa tena huyo uliyenaye????

Kwangu mimi hapana na naamin 1/4 tu ndo wataoa walionao
 
Ikitokea hivyo wengi wata opt kubadilisha wenza wao, lakini wengi ambao wata opt hivyo baada ya muda watatamani warudiane na wenza wao wa awali.

Unajua kwa sababu wengi wetu hatujua upande mwingine ukoje, yaani hatujawahi kuishi na watu wengine then tunafikiri kwamba tuna wenza ambao hawatufai.

Ukiona couple nyingine unafikiri labda jamaa ana bahati ana mke mwema na mzuri, au ana mme mwema kuliko wa kwako. Kumbe ni vile tu uko nje, unawaona kwa nje, ukipewa uishi naye wewe utaona ayaaa kumbe ndo hivi.

Usia kwangu kwa kila mwana ndoa, ridhika na uliye naye, huyo ndo mungu amakuchagulia. Ishini kwa mapenzi mema na kuombeana heri.
 
Ikitokea hivyo wengi wata opt kubadilisha wenza wao, lakini wengi ambao wata opt hivyo baada ya muda watatamani warudiane na wenza wao wa awali.

Unajua kwa sababu wengi wetu hatujua upande mwingine ukoje, yaani hatujawahi kuishi na watu wengine then tunafikiri kwamba tuna wenza ambao hawatufai.

Ukiona couple nyingine unafikiri labda jamaa ana bahati ana mke mwema na mzuri, au ana mme mwema kuliko wa kwako. Kumbe ni vile tu uko nje, unawaona kwa nje, ukipewa uishi naye wewe utaona ayaaa kumbe ndo hivi.

Usia kwangu kwa kila mwana ndoa, ridhika na uliye naye, huyo ndo mungu amakuchagulia. Ishini kwa mapenzi mema na kuombeana heri.
Lakini wengi pia wataishi bila kuoa
 
Nini chanzo cha hiyo kitu? Maana ni jambo la ajabu sana kuingia ktk ndoa ukiamini kabisa utokuwa na furaha kwayo!
 
Nini chanzo cha hiyo kitu? Maana ni jambo la ajabu sana kuingia ktk ndoa ukiamini kabisa utokuwa na furaha kwayo!
Watu wanapoingia kwenye ndoa huwa wanategemea furaha na amani ila baada ya muda ndoa zinageuka jera
 
Nini chanzo cha hiyo kitu? Maana ni jambo la ajabu sana kuingia ktk ndoa ukiamini kabisa utokuwa na furaha kwayo!

Ndugu wa mume mama mkwe na mawifi wanasababisha ndoa nyingi kuvunjika.

Mama mkwe anaona km mtoto wake unakuwa over control na mwanamke, na misaada inapungua kwao wakati kijana anatakiwa kujenga familia yake. Lazima misaada itapungua haitakuwa km zamani.Hapo kasheshe huanza kwa mama mkwe na mawifi.

Uzazi pia unachangia wanaume wao wanaamini hawana matatizo ya uzazi, hayo yapo kwa wanawake tuu.Binti akipima na kujikuta yuko salama mwanaume unakuwa mkali hutaki kukubali kupima wala kusikia habari hiyo na walama zoote atapewa binti. Wakati ukweli anaujua yeye kuwa hajapima, ndugu wataanza minong'ono na vijembe mwisho ndani kuna kuwa kosovo.

Kipato kikiongezeka au kupungua napo pia kunaleta gubu na dharau kwa pande zoote mbili. Tabia zinabadilika na Yale mazoea ya zaman yanabadilika kashehe kuanzia hapo pia.

Ndugu wa kuishi nao nyumbani nao ni kasheshe nyingine wanaweza leta kasheshe mpk ukajuata.Usiombe kukutana nao wale wazandiki.

Aaahh yapo mengi, ngoja wengine wajazie
 
Ndugu wa mume mama mkwe na mawifi wanasababisha ndoa nyingi kuvunjika.

Mama mkwe anaona km mtoto wake unakuwa over control na mwanamke, na misaada inapungua kwao wakati kijana anatakiwa kujenga familia yake. Lazima misaada itapungua haitakuwa km zamani.Hapo kasheshe huanza kwa mama mkwe na mawifi.

Uzazi pia unachangia wanaume wao wanaamini hawana matatizo ya uzazi, hayo yapo kwa wanawake tuu.Binti akipima na kujikuta yuko salama mwanaume unakuwa mkali hutaki kukubali kupima wala kusikia habari hiyo na walama zoote atapewa binti. Wakati ukweli anaujua yeye kuwa hajapima, ndugu wataanza minong'ono na vijembe mwisho ndani kuna kuwa kosovo.

Kipato kikiongezeka au kupungua napo pia kunaleta gubu na dharau kwa pande zoote mbili. Tabia zinabadilika na Yale mazoea ya zaman yanabadilika kashehe kuanzia hapo pia.

Ndugu wa kuishi nao nyumbani nao ni kasheshe nyingine wanaweza leta kasheshe mpk ukajuata.Usiombe kukutana nao wale wazandiki.

Aaahh yapo mengi, ngoja wengine wajazie
Achana na mambo ya ndg but wanandoa wenyewe ni majanga matupu
 
Ikitokea Mungu akaruhusu sahiz kuturudisha nyuma muda wa kuoa au akavunja ndoa hizi na kutaka watu waoe upya

Je utamuoa tena huyo uliyenaye????

Kwangu mimi hapana na naamin 1/4 tu ndo wataoa walionao
1. Ukitaka kuwa na mwenzi perfect basi perfection ianzie kwako.
Kama Mke wako hakati kiuno kama geni basi wewe kata kiuno kama pangaboi LA bombadia.
2. Usitarajie miujiza mikubwa ku toka kwa mwenzio nae pia ana makosa na hukosea
3. Jifunze kuwa mvumilivu na mwenye kusamehe maisha yatakuwa rahisi kwako
4. Jiepushe na uwongo
 
1. Ukitaka kuwa na mwenzi perfect basi perfection ianzie kwako.
Kama Mke wako hakati kiuno kama geni basi wewe kata kiuno kama pangaboi LA bombadia.
2. Usitarajie miujiza mikubwa ku toka kwa mwenzio nae pia ana makosa na hukosea
3. Jifunze kuwa mvumilivu na mwenye kusamehe maisha yatakuwa rahisi kwako
4. Jiepushe na uwongo
Watu hawazichoka ndoa kwa sababu ya mauno ndg swala la sex ni dogo sana katika ndoa! Shida iko katika kuelewana na kucope na tabia za wenzi
 
pole sana mkuu mpaka umelifikiria hili means unajuta or unakipata cha mtema kuni
 
Ikitokea hivyo wengi wata opt kubadilisha wenza wao, lakini wengi ambao wata opt hivyo baada ya muda watatamani warudiane na wenza wao wa awali.

Unajua kwa sababu wengi wetu hatujua upande mwingine ukoje, yaani hatujawahi kuishi na watu wengine then tunafikiri kwamba tuna wenza ambao hawatufai.

Ukiona couple nyingine unafikiri labda jamaa ana bahati ana mke mwema na mzuri, au ana mme mwema kuliko wa kwako. Kumbe ni vile tu uko nje, unawaona kwa nje, ukipewa uishi naye wewe utaona ayaaa kumbe ndo hivi.

Usia kwangu kwa kila mwana ndoa, ridhika na uliye naye, huyo ndo mungu amakuchagulia. Ishini kwa mapenzi mema na kuombeana heri.
Amen.
 
To be honest mimi nitabaki na huyu huyu niliyenaye,'cause kwa sehemu kubwa nimeshamsoma na nimemjua vizuri mnoo.
Nisije nikaruka jivu nikakanyaga moto. Sijui kwa upande wake atachagua nini.
 
Back
Top Bottom