Naamini huu mladi hauta fika mbali hawa jamaa hawajajipanga kabisa mladi mkubwa kama huu huwezi kukulupuka na kuweka mabasi balabalani eti kisa uchaguzi ili wapate kula
Kaka mageuzi hilo ndio wazo langu pia kuna u mafia unaandaliwa wa kuakikisha lowasa hapati nafasi ya kugombea uraisi kwa ticket ya chama chochote nchini lowasa hawezi kuwa raisi wa nchi hiii
Huyu jamaa atakuwa mgonjwa mangapi makubwa yametokea lakini hakulia anamatatizo ya akili au anatafuta umaarufu huyu jamaa nilikuwa namuona abamaana sana kumbe kenge tu mtu mziima hovyo kabisa
Kwani picha kitu gani mwigulu picha inatolewa na imawekwa ya mwigulu tetetete unajua wewe katabia kako ndio kanakualibia kuna wanasiasa wengi tu kutoka ccm ni wazuri sana lakini hawana tabia kama yako Yaani wewe ni hatari kama ukoma da
Huyo dada ni muuza sembe. Tayari amekamatwa china akiwa na Lete 66 tumboni mpaka jamaa yake naye ni muuza sembe nashangaa serikali imasubili nini kumtia nguvuni
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.