Mwigamba: Baada ya Zitto ni Dr. Slaa

Mwigamba: Baada ya Zitto ni Dr. Slaa

Mwigamba ni Gamba tu, anaandika Mambo ambayo hata mwanafunzi wa std7 anayastukia kuwa ni upuuzi ulioshiba!!
Teh,teh,teh
 
Huyu Mwigamba Si akatafute tu shamba alime,kwani lazima kufanya siasa?au mbona vyama vipo vingi tu,Si aende hata TLP?,kwanza alinishangaza kuomba mwongozo kwa msajili,ule mkakati wao wa siri vipi waliuombea muongozo Kama ni sahihi kwa wanachama kupanga mbinu za kuwaondoa viongozi madarakani?ndio democracy ilivyo?mtu huyu hajielewi na hafai kuwa mwanasiasa.
 
Dr.Slaa pale kawekwa na Mbowe sasa anajifanya mjanja kumuingiza Josephine kwenye masuala ya chama Mbowe na Mtei hawawezi kukubali hata siku moja.
Josephine kabambikiwa kwa slaa ili kuiharibu chadema


Slaa should leave that woman
 
Last edited by a moderator:
Mwigamba take it easy kaka,bado una nafasi ya kufanya siasa katika mazingira mengine usije ukajimaliza mwenyewe.
 
Mwigamba rulos ndugu yangu. Usitukane wakunga na uzazi ungalipo. Hata ule mwongozo ulioomba kwa msajili ni upuuzi wa kupindukia. Katiba ilikwishapitishwa na wanachama kwa kura zote, ni binding na makosa yake yote. Hivi ni nani mshauri wako? Mbona anakutumbukiza shimoni?
 
Mwigamba take it easy kaka,bado una nafasi ya kufanya siasa katika mazingira mengine usije ukajimaliza mwenyewe.

Ameshajimaliza huyu. Masikio yamekuwa makubwa kuliko kichwa.
Hawezi kufanya siasa tena. Labda aende ccm akafanye kazi za buku 7 kama Mchange and Co.
 
Josephine kabambikiwa kwa slaa ili kuiharibu chadema


Slaa should leave that woman

Mwanaume huwezi kuongelea mke wa mwanaume mwenzako...unless you are fighting for the same man.

Get a life.
 
Wadau huyo Mwigamba mbona amegeuka baba wa mipasho kama saloon au vijiwe vya kahawa.???
MaCCM kazi zao ni kutumia watu kama Samsoni kutimiza matakwa
yao, kisha kuwatosa!!!
Amuulize Tambwe Hiza, Lamwai etc atapata majibu!! Kwa mtindo huu kueneza majungu inasaidia kumkomboa Mtanzania mnyonge???
Mwigamba anapotea CDM inazidi kuimalika, kweli alikuwa mamluki wa CCM hilo limedhihilika wazi!!
 
Wanaoyasadiki maneno ya Mwigamba ni Matahira wote.Aliyesimamishwa Uongozi kwa Utomvu wa Nidhamu na kupewa barua ya Onyo ajieleze kwa nini asifukuzwe Uanachama ndani ya CHADEMA badala ajibu hayo yanayomhusu,Ajabu anajifanya kutuonesha kuna hatari CDM,kaa kimya wewe (mwenye Magamba) Mwigamba. Subiri wakunyoe kipara kwa Vipande vya Chupa.
 
Aliyekuwa mwenyekiti wa chadema mkoa wa Arusha Samson Mwigamba amesema kuwa mpango unaofuata kwa sasa ni kumuondoa Dr slaa ndani ya chadema.
amesema baada ya zitto kuondolewa ndani ya chama mtu atayefuata katika kushughulikiwa ni Dr Slaa ambaye kwa sasa amekuwa amekuwa akifanya shughuli za chama kwa kupelekwa pelekwa bila yeye mwenyewe kujua.

Mwigamba amesema kuwa upo mkakati kabambe unaendeshwa na baadhi ya watu kwa kushirikiana na watu walio nje ya chama ili kukimaliza chama kabla ya kufika kwenye uchaguzi mkuu 2015.
Amesema kuwa Mwenyekiti wao Freeman Mbowe ambaye yupo karibu sana na mbunge wa Arusha mjini Godbless Lema ndio vinara wa mkakati wa kukiangamiza chama, huku John mnyika na Tundu Lissu wakijiweka mbele bila kujua hatima yao.

View attachment 127642 View attachment 127643
source; Rai Jumatano.desemba 18,2013.

Acha kuendeleza usaliti wako. Huwezi kuaminika kwa lo lote. Wewe sasa umechuja tafuta chama kingine kama CCM wamekutaa. Sasa unatafuta kuwachonganisha Mbowe na Slaa. Huo mkakati mbona ulishabuma Mwigamba? Hivi ile kesi yako vipi? Achana na mambo yasiyokuhusu unazidi kujididimiza. Kama kweli unapenda siasa na una uhakika unazimudu usikubali kutumika. Mimi sipendi siasa ndiyo maana sina chama baada ya kutolipia kadi ya chama changu kwa muda mrefu. Zingumzia mustakabali wa taifa na siyo mtu mmoja mmoja.
 
Kweli usije ukwaamini wana siasa, alisema ZZK, Mwigamba siku hizi swahiba wa magazeti ya Habari Cooparations, bado siyaamini macho yangu kabisa, is this Mwigamba i know or it is just his shadow!? Mwigamba aliyeamua kuacha kazi ya Uaskari magereza kwasababu ya Imani yake, leo ana nunulika kirahisi hivi, kweli hua tunakosea sana kumlaumu Yuda Iskarioti, Pesa ina nguvu aise! Mmmmh!
 
Acha kuendeleza usaliti wako. Huwezi kuaminika kwa lo lote. Wewe sasa umechuja tafuta chama kingine kama CCM wamekutaa. Sasa unatafuta kuwachonganisha Mbowe na Slaa. Huo mkakati mbona ulishabuma Mwigamba? Hivi ile kesi yako vipi? Achana na mambo yasiyokuhusu unazidi kujididimiza. Kama kweli unapenda siasa na una uhakika unazimudu usikubali kutumika. Mimi sipendi siasa ndiyo maana sina chama baada ya kutolipia kadi ya chama changu kwa muda mrefu. Zingumzia mustakabali wa taifa na siyo mtu mmoja mmoja.
Mnaweweseka tu saivi. Chadema si kitu si mali tena
 
Naumia sana kujua kuna watu bado wanasoma RAI. Gazeti la New Habari, chombo cha habari kilichotumiwa na JK kuingia madarakani, kilichotoa waandishi wa habari waliotumiwa kumchafua Salim A. Salim, New habari ni kichaka cha walamba viatu vya wakuu. Kwa sasa Rostam Aziz baada ya kutishiwa na serikali ya JK, kama kawaida yao chombo hiki ambacho hakijawahi kujisimamia tangu alipoondoka mama Rosemary Mwakitwange, hawana mishahara, waandishi wanajua pale ni kijiweni, mahali pa kupata computer zile za zamani na soko la wanasiasa uchwala. Ndio maana kwa muda mwingi pamekua kijiwe cha wakina Kafulila, wakina shonza, mwampamba.

Kuhongwa magari ya mitumba

Karibu miezi 2 au 3 iliyopita wafanyakazi wa habari wasio na mishahara walimwagiwa magari ya mitumba yale ya mwaka 1990 ambayo ni chakavu na hivyo ku attract hire tax. Magari haya yakiwemo Krugger anayoendesha sasa Kibanda, Noah na hiyo ya sasa anayoendesha Mulindwa yametolewa na Zitto kabwe kupitia kampuni ya kaka yake. Hebu fikiria kwa kampuni ambayo ndio inayoongoza kwa kuwalipa waandishi mishahara midogo, tena wakiwa wanallipwa kwa kukopwa kwa miezi inawa guarantee hao wafanyakazi wasio na mishahara mikopo ya magari. Tunajua mishahara yao ni average ya laki mbili hadi tatu kwa mwandishi wa kawaida isipokua wale wanaoletwa pale kwa kazi maalumu wakilipwa na waliowaajiri wakiwemo Kibanda, na huyo Mulindwa anayelipwa na Bashe.

Bashe Mwanasiasa Uchwala
Kwa sasa hivi Bashe hajul;ikani anafanya nini, hana uwezo wa lolote zaidi ya kutumiwa kuwaandalia wakina Lowasa urais akitegemea kupandia humo, hana uwezo wa kuongoza wala kutawala. Hana muda ni kama vile kila kitu chake kiko shaghala baghala, Kwa sasa wale wote walioko habari wako desperate, kwa maana hata hao wakina Kibanda na Bashe ambao walikua na matarajio la wakina EL wanaona kuwa huko mbele hakueleweki, lakini their options are limited. Kwa hiyo wanachoangalia ni yale yale ya chukua chako mapema. Ndio maana wamekua rahisi kutumiwa na kusimamia huo mkakati wa Zito kwa kuwa kwa sasa ndio source yao ya income. These people are not behaving any differently from any cheap prostitute.

Mwigamba, Juliana Shonzi, Mwampamba

Cheap Politics! Hivi unahitaji kujua ni akili ndogo ya kiasi gani kwa RAI ku chagua kuwa ndio matoleo ya kila balaa inayotoka CHADEMA? hapa sisi political analyst tunaita ni political suicide, ndicho wanachofanya wakina Bashe, na Kibanda. Asichojua Kibanda wakati akiwa na kesi ya jinai mahakamani iliyomhusu Mwigamba, documents zinabaki kama evidence, when this country is liberated, kuna mtanzania atakayeweza kuamua ku put things right, je hii haim link huyu -------- kibanda na Mwigamba kwenye a possible treason? hivi ni njaa ya namna gani inayoweza kukufumba macho na ku put your offsprings kwenye such a risk? After all the likes of Mwigamba, Shonza na Zitto Kabwe, will never be making any statements in the future politics of this country. Kibanda should concentrate on finding out his fate, after all that has happened, work on his girl problem in the press room, kwa kuwa inaonekana ni brand, Bashe atabaki msomali milele, kama wakina Bandora hawa nao siku Somalia ikitulia, hatutawaona hapa, tunataka vijana watakaojua hili na kukataa Tanzania kubaki kama kichaka cha majambazi, tuwakatae hata kama ni rafiki zetu na tulikula nao vinono
 
Back
Top Bottom