Wewe ni mtu usiekuwa na akili hicho kitabu unachosema kina udini mtupu na we utakua una udini bara lote la Africa wanajua mchango wa nyerer ndio maana amejengewa nyumba kubwa juz na wenzetu hixo ni dalili za kuheshimika Leo hii we pang'ang'a cjui umetokea wapi na ujinga wako unataka kutuamisha...
Nilikuwa Chuo mwaka was pili calfonia America tulikuwa wanafunzi wanne hapo Chuo tukaitwa pamoja na wanafunzi woote tukapewa pole nyingi tuliumia saana kwa kweli
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.