Hakuna haja ya Nyerere Day

Hakuna haja ya Nyerere Day

Mleta uzi unaujua msemo usemao nabii hakubaliki kwao?. Mwalimu alifanya mengi ambayo yanaifanya Tanzania ibakie kama ilivyo hivi sasa. Maono yake yaliondoa kabisa ukabila na ukanda. Kama tusingekuwa na mawazo na mitazamo yake, leo hii ni makabila machache sana ambayo yangekuwa yamestawi kiuchumi na mengi mengine yangekuwa ni makabila yenye kuwatumikia hao wachache.
Kiuchumi hakufanikiwa lakini ni marais wachache sana walioasisi nchi za Afrika ambao wanaweza kujisifu kwamba walifanikiwa kiuchumi.
Ni jukumu la hawa viongozi wa sasa kutumia rasilimali watu yenye elimu, kwa ajili ya kukuza uchumi wa nchi nzima na ule wa mwananchi mmoja mmoja.

Si kweli.

Nyerere hakukuta ukabila na ukanda, hata yeye alikuwa wakuja Dar na akapokelewa na kulazzwwa, kulishwa kuvishwa na akina Sykes. Hilo lipo wazzi kabisa.

Ingekuwa kuna ukabila na ukanda au udini kama unavyotaka kutuaminisha, jee Nyerere angekaribishwa na Waislam wa Dar? Fikiri.

Ukabila tulikuja kuuona baada ya azimio la Arusha, mpaka ukapewa jina "udugunaizeshen". Sijuwi kama ulikuwepo.
 
Itafikia kipindi "identity" zote za taifa zitakufa. Na atatotea Rais mwingine kipindi kuna maendeleo na atazirudisha na ataonekana ana akili.
 
Rais Nyerere hafai kukumbukwa kwa lolote

Ukisema kaleta Uhuru kasome makala za Mohammed said utaelewa kazi ya viongozi wa TAA juu ya Uhuru na kazi ya Nyerere.

Nani alimruhusu kusema nchi haina dini halafu akatupa wimbo wa taifa tumuombe Mungu. Nani alimruhusu kuwa tunataka ujamaa? Alifanya referendum wapi? Nani alimruhusu kutaifusha Mali za watu,viwanda,viwanja,mashule,vyuo,nk? Nani alimruhusu kukusanya watu kwenye vijiji na maroli huku wakiwa chini ulinzi kwa waliopinga.

Nani alimruhusu kuua demokrasia na kupiga marufuku vyama vingi?
Serikali yake ikajaa umangimeza, hakuna wakuihoji, zikadumu fikra za mwenyekiti kwa mdamrefu, nan alimruhusu?

Akatumia rasilimali na fedha za chi kukomboa bara zima la Afrika bila kuweka mkataba kuwa fedha zile sio zake Bali za wananchi kwa hiyo wakipita Uhuru wao wazirudishe matokeo yake hata South Africa tuliowasaidia wenyeji hawataki wahamiaji na wanawaua, je rasilimali zetu zilizowanufaisha sisi tumenufaika na nini?

Nina mengi sana lakini ngoja niachie hapa, sasa najiuliza Nyerere tunamkumbuka kwa lipi hata tuweke eti Nyerere day?

Tafakari
Voltaire alijitahidi sana kuandika vitabu vingi vya kumkosoa Masihi wa Bwana. Lakini havikupunguza kuongezeka kwa wafuasi wake ambao leo hii wapo hadi China.

Munga Tehenan aliyepata kuwa mwandishi mahiri hapa nchini aliwahi kuandika kitabu cha kumsema vibaya Mwalimu Nyerere. Ni watu wachache waliokinunua achilia mbali kukinunua.

Ushauri wangu kwako, you cannot fight Mwalimu Nyerere in any way even if He is dead.
 
Wewe ni mtu usiekuwa na akili hicho kitabu unachosema kina udini mtupu na we utakua una udini bara lote la Africa wanajua mchango wa nyerer ndio maana amejengewa nyumba kubwa juz na wenzetu hixo ni dalili za kuheshimika Leo hii we pang'ang'a cjui umetokea wapi na ujinga wako unataka kutuamisha kuwa nyerere hafai hata kama ana mabaya ni ya kibinadamu yapo kwa kila MTU hayo.unaamini kitabu bila kufanya uchunguzi we mkurupukaji tu
 
Si kweli.

Nyerere hakukuta ukabila na ukanda, hata yeye alikuwa wakuja Dar na akapokelewa na kulazzwwa, kulishwa kuvishwa na akina Sykes. Hilo lipo wazzi kabisa.

Ingekuwa kuna ukabila na ukanda au udini kama unavyotaka kutuaminisha, jee Nyerere angekaribishwa na Waislam wa Dar? Fikiri.

Ukabila tulikuja kuuona baada ya azimio la Arusha, mpaka ukapewa jina "udugunaizeshen". Sijuwi kama ulikuwepo.
Faiza Foxy inawezekana wewe ulikuwepo enzi hizo. Nyerere alitufundisha kuwa na umoja, alipiga vita ukabila na ukanda.

Angeweza kuwa na akili za kibepari za kupenda utajiri na watoto wake ndio wangekuwa wamiliki wa mabenki na majumba makubwa. Hakufanya hivyo licha ya kuwa na uwezo huo. Wale wenye akili za utafutaji zenye kuona mbali ndio wale waliokuja kujenga majengo ya oysterbay enzi hizo, ambayo wameyapangisha kwa mabalozi na kuchukua kodi ya maana.

Hao matajiri hawakuwa kundi moja na Nyerere, vinginevyo wapo watu wa makabila mengi tu ambao sasa hivi ingekuwa inakula kwao.

Halafu kuja kutoka Bara na mtu kuonekana wakuja kama unavyosema sio issue ya mtu kujisifia. Mamwinyi wangapi wanakufa na ulofa wao katika maeneo ya wenyeji wa jiji la Dar?. Wakuja wangapi wanaishi hapa Dar maisha mazuri tena yaliyojaa neema halafu kuna watoto wa kidarisalama ambao wanaishi kupiga mihayo mabarazani?.
Watoto wa kidarisalama kazi yao kuangalia warembo waliovaa sketi fupi na kuanza kuwaongelea kwenye vijiwe vya mafundi viatu, mwisho wa siku umasikini unawahusu mpaka siku yao ya kufa.
 
kinakumbukwa kifo chake,kwahiyo wewe unaye mchukia unaweza kufurahia kufa kwake!!
 
Kwako wewe huyo Mohammed Saidi ni nani hasa mpaka uamini alichoandika,

Nenda Maktaba kasome history ya Tanzania utaelewa umuhimu wa Nyerere, Kambona, Bibi Titi Mohammed na wengineo.

Tatizo unaongozwa na mihemko.
Kwani mtu usipokuwa na dini huwezi kumuomba Mungu wewe binafsi!!

Wimbo wa taifa ni sala ya pamoja kwa wenye dini,wapagani, Wakristo kwa waislamu.


Punguza Mihemko ndugu, Tanzania ni yetu site.
Ndio maana wanasema kwa nini tusiweke siku ya kuwakumbuka legends wote waliopigana uhuru,tukiweka NyerereDay tuu huoni tutakuwa tumewabagua wengine pia?
 
Rais Nyerere hafai kukumbukwa kwa lolote

Ukisema kaleta Uhuru kasome makala za Mohammed said utaelewa kazi ya viongozi wa TAA juu ya Uhuru na kazi ya Nyerere.

Nani alimruhusu kusema nchi haina dini halafu akatupa wimbo wa taifa tumuombe Mungu. Nani alimruhusu kuwa tunataka ujamaa? Alifanya referendum wapi? Nani alimruhusu kutaifusha Mali za watu,viwanda,viwanja,mashule,vyuo,nk? Nani alimruhusu kukusanya watu kwenye vijiji na maroli huku wakiwa chini ulinzi kwa waliopinga.

Nani alimruhusu kuua demokrasia na kupiga marufuku vyama vingi?
Serikali yake ikajaa umangimeza, hakuna wakuihoji, zikadumu fikra za mwenyekiti kwa mdamrefu, nan alimruhusu?

Akatumia rasilimali na fedha za chi kukomboa bara zima la Afrika bila kuweka mkataba kuwa fedha zile sio zake Bali za wananchi kwa hiyo wakipita Uhuru wao wazirudishe matokeo yake hata South Africa tuliowasaidia wenyeji hawataki wahamiaji na wanawaua, je rasilimali zetu zilizowanufaisha sisi tumenufaika na nini?

Nina mengi sana lakini ngoja niachie hapa, sasa najiuliza Nyerere tunamkumbuka kwa lipi hata tuweke eti Nyerere day?

Tafakari
Kwa kifupi aliruhusiwa na katiba ya nchi ambayo ndiyo inampa mamlaka ya kuamua nini afanye na nini asifanye kama mkuu wa nchi.Mhe.Thomaso swali la nyongeza!
 
Rais Nyerere hafai kukumbukwa kwa lolote

Ukisema kaleta Uhuru kasome makala za Mohammed said utaelewa kazi ya viongozi wa TAA juu ya Uhuru na kazi ya Nyerere.

Nani alimruhusu kusema nchi haina dini halafu akatupa wimbo wa taifa tumuombe Mungu. Nani alimruhusu kuwa tunataka ujamaa? Alifanya referendum wapi? Nani alimruhusu kutaifusha Mali za watu,viwanda,viwanja,mashule,vyuo,nk? Nani alimruhusu kukusanya watu kwenye vijiji na maroli huku wakiwa chini ulinzi kwa waliopinga.

Nani alimruhusu kuua demokrasia na kupiga marufuku vyama vingi?
Serikali yake ikajaa umangimeza, hakuna wakuihoji, zikadumu fikra za mwenyekiti kwa mdamrefu, nan alimruhusu?

Akatumia rasilimali na fedha za chi kukomboa bara zima la Afrika bila kuweka mkataba kuwa fedha zile sio zake Bali za wananchi kwa hiyo wakipita Uhuru wao wazirudishe matokeo yake hata South Africa tuliowasaidia wenyeji hawataki wahamiaji na wanawaua, je rasilimali zetu zilizowanufaisha sisi tumenufaika na nini?

Nina mengi sana lakini ngoja niachie hapa, sasa najiuliza Nyerere tunamkumbuka kwa lipi hata tuweke eti Nyerere day?

Tafakari
Na mimi nakuuliza wewe,nani alimruhusu Nyerere kuunganisha watanganyika wa makabila tofauti kuwa wamoja?pia nani alimruhusu Nyerere kujenga viwanda ambavyo makada wa CCM wamevifilisi?nani alimpa Nyerere kibali cha kuwa mwanamapinduzi mpaka majuzi AU wamelipa jina lake jengo lao la Amani kule Ethiopia,lililozinduliwa na waziri mkuu wa Ujerumani?.Alafu ukimaliza kunijibu uweke na CV yako alafu tulinganishe michango yako na yake kwenye maendeleo ya taifa hili!
 
Rais Nyerere hafai kukumbukwa kwa lolote

Ukisema kaleta Uhuru kasome makala za Mohammed said utaelewa kazi ya viongozi wa TAA juu ya Uhuru na kazi ya Nyerere.

Nani alimruhusu kusema nchi haina dini halafu akatupa wimbo wa taifa tumuombe Mungu. Nani alimruhusu kuwa tunataka ujamaa? Alifanya referendum wapi? Nani alimruhusu kutaifusha Mali za watu,viwanda,viwanja,mashule,vyuo,nk? Nani alimruhusu kukusanya watu kwenye vijiji na maroli huku wakiwa chini ulinzi kwa waliopinga.

Nani alimruhusu kuua demokrasia na kupiga marufuku vyama vingi?
Serikali yake ikajaa umangimeza, hakuna wakuihoji, zikadumu fikra za mwenyekiti kwa mdamrefu, nan alimruhusu?

Akatumia rasilimali na fedha za chi kukomboa bara zima la Afrika bila kuweka mkataba kuwa fedha zile sio zake Bali za wananchi kwa hiyo wakipita Uhuru wao wazirudishe matokeo yake hata South Africa tuliowasaidia wenyeji hawataki wahamiaji na wanawaua, je rasilimali zetu zilizowanufaisha sisi tumenufaika na nini?

Nina mengi sana lakini ngoja niachie hapa, sasa najiuliza Nyerere tunamkumbuka kwa lipi hata tuweke eti Nyerere day?

Tafakari

Tangu mgombea wetu ashinde urais wewe na dada yetu FF mmepotea sana mkuu. Tumewamiss kweli!
 
Nani alimruhusu..ulitaka ruhusa itoke kwako? alipoumbwa Hawa Adam hakuombwa ruhusa...kwa hiyo tuanze kumuhoji Muumba kwa Hawa kurubuniwa na lucifer au tuangalie tunaishi vipi na Hawa?

Pilot halazimiki kuuliza abiria 'sasa nawahoji...wanaotaka niitue Arusha airport waseme ndiooooo'

Hongeara kwa kuandika pumba.
 
Tangu mgombea wetu ashinde urais wewe na dada yetu FF mmepotea sana mkuu. Tumewamiss kweli!



Mkuu kama mzee wa msoga alishindwa kumpa ujumbe wa nyumba kumi faizafoxy unafikiri mzee wa mwendokasi anaweza kumpa...yupo mwanambaya na mkuranga analima mihogo siku hizi
 
Back
Top Bottom