Mhe. Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa TANZANIA Mhe. JOHN pombe Magufuli alishazungumzia swala la vyeti fake na wale wasio na vigezo katika utumishi wa umma Ama serikalini.
Nakumbuka kuna operation kagua vyet kwa watumishi wa uma ilifanyika nchi nzima
Mhe. Rais anaweza kalia kimya hili swala la...
Pastor hana makosa kama kasema ukwel ila kama kasema uongo mbele ya jamii tena katika madhabahu ya kuabudia hafai kua Pastor
Swala na DAUD ALBERT BASHITE Ni swala zuri pia kuzungumziwa kwan ule ukwel utajulikana na uongo utajulikna tunaitaji vyet orgnal ya RC BASHITE
Ili mjadala ufungwe
Mm huabnaona anesababisha hii hali kujitokeza ni mwanamke mwanaume hua ni muoga sana tena ukigusia swala la mke wa mtu
Wanawake wengi wamekua wakianza kujipendekeza kwa wanaume ile hali anajua kabisaa ana mume
Na hii imekua ikianzisha mazoea sana mpaka wanajikuta wanasex then baadae ndo...
Kuna kauli nimekua nikizisikia kwa Mhe Rais akiwajib wananchi majibu ya kishujaa sana je kwa kua yeye ni mkuu wa nchi hatakiwi kuambiwa au
Hebu na wewe mtoa post usiropoke Fikiri kwanza
Huko ni kuishiwa sera na yeye hajui kua anajiharibia alishaonesha nia kua anataka kugombea urais wa nchi baadae je anafikiri kua taifa linamchukuliaje kama kiongozi
Mm sina imani kama mtu anaweza kuchagua mtu ambae hana maafili
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.