TCU/NACTE application 2015/2016 for undergraduate

TCU/NACTE application 2015/2016 for undergraduate

sasa mbona sentence fupi ila watu wanatoa maelezo kurasa 6 inakuaje au ilikosewa kuandikwa maana aya maneno muda mwingine ukikosea kuandika yanaleta maana nyingine kabisa mfano iwe "serve" then uandike "save" lazima uingie chake

sindo hapo sasa, alafu ukiwaambia wabishi kweli.
 
Nacte umekosa diploma au degree?!na kama degree mbona majibu hayajatoka?!

unajua watu wanosema selection tayari wanasahau kuweka wazi ni yote yaani wale equivalent + form 6 applicants au ni form 6 applicants only ndio maana wa NACTE wanachanganyikiwa maana uko selection bado
 
sasa mbona sentence fupi ila watu wanatoa maelezo kurasa 6 inakuaje au ilikosewa kuandikwa maana aya maneno muda mwingine ukikosea kuandika yanaleta maana nyingine kabisa mfano iwe "serve" then uandike "save" lazima uingie chake

Ni vema ukampa m2 maelezo ya kutosha ili ajuwe anachofanya,

Mfano mtu anaenda soma PCB, co kwamba atasoma physics,chemistry na biology tu kwasababu ndio masomo yanayojionyesha kwa wazi

Bali kuna mengine Gs na Bam lazma atagusa

So maelezo marefu hayapo bure,nafikir uliona mfano wa st joseph nilioutoa, ila kwa kuwa kwenye msafara wa mamba kenge pia wapo ndio maana utaona watu wanabwatuka ovyo na kuropoka "unapotosha"

Alaf hawatoi majibu hahaaaa, kuwapuuza inabidi sana tuh,
 
SALAAM,
samahani nilifanya aplication then nimesahau password naomba m,saada wenu plzz
 
kwa walkosa nacte jaman ushaur tafadhar tufanyaje

Nacte ni wale wote waliferi form 4 na form 6, wenye vyeti vya kuungaunga ili maisha yasogee, ninyi hamna umuhimu ktk taifa ili coz vichwa vyenu vigumu kuelewa, we katafute kazi za kufanya vijijini uko
 
Nacte ni wale wote waliferi form 4 na form 6, wenye vyeti vya kuungaunga ili maisha yasogee, ninyi hamna umuhimu ktk taifa ili coz vichwa vyenu vigumu kuelewa, we katafute kazi za kufanya vijijini uko

Mbona wewe dogo una utoto sana?tatizo nini stress za maisha?mbona unajifanya much know sana wewe,umelipia kujiunga humu?kwaiyo watu wote waliosoma diploma ni failure?hii mitandao ya kijamii isikufanye kudharau hata watu usiowajua ili upate umaarufu..ACHA UJINGA NI ONYO LA PILI,next time tutakureport kwa moderators uonje ban hata ya wiki.
 
Mbona wewe dogo una utoto sana?tatizo nini stress za maisha?mbona unajifanya much know sana wewe,umelipia kujiunga humu?kwaiyo watu wote waliosoma diploma ni failure?hii mitandao ya kijamii isikufanye kudharau hata watu usiowajua ili upate umaarufu..ACHA UJINGA NI ONYO LA PILI,next time tutakureport kwa moderators uonje ban hata ya wiki.

Hahaaa
Umenichekesha hapo eti"uonje hata ya wiki"
 
Nacte ni wale wote waliferi form 4 na form 6, wenye vyeti vya kuungaunga ili maisha yasogee, ninyi hamna umuhimu ktk taifa ili coz vichwa vyenu vigumu kuelewa, we katafute kazi za kufanya vijijini uko

Hata kama umesoma ila kwa ulichokiandika inaonekana ulifikiria kwa kutumia makalio
 
Nacte ni wale wote waliferi form 4 na form 6, wenye vyeti vya kuungaunga ili maisha yasogee, ninyi hamna umuhimu ktk taifa ili coz vichwa vyenu vigumu kuelewa, we katafute kazi za kufanya vijijini uko

Utakutana na watu unaowaita vilaza utakunyoosha utakuwa wa mwisho ndipo utajua kufaulu ni nini na kuwa na ufahamu nini ni hiyo grade yako iliyo shuswa ili upate ufaulu ndio unalingia
 
Nacte ni wale wote waliferi form 4 na form 6, wenye vyeti vya kuungaunga ili maisha yasogee, ninyi hamna umuhimu ktk taifa ili coz vichwa vyenu vigumu kuelewa, we katafute kazi za kufanya vijijini uko
Kweli wew ni mjinga.
Wapo waliomaliza form 4 na kufaulu kabisa ila wakaamua kujiunga diploma tumia kichwa cha juu kufikir acha ujinga.
NB. Sizani kama una elimu hata ya form 4
 
Nacte ni wale wote waliferi form 4 na form 6, wenye vyeti vya kuungaunga ili maisha yasogee, ninyi hamna umuhimu ktk taifa ili coz vichwa vyenu vigumu kuelewa, we katafute kazi za kufanya vijijini uko

wazazi wako wananyadhifa gani ndani ya CCM?
tumejifunza hivi: ukiona housegal anamjibu mama mwenye nyumba kwa kiburi na dharau basi kuna mawili
1. atakua ameshaanza kutoka na baba mwenye nyumba.
2. ni mshirikina/mchawi/mwanga hivyo anajiamini kwa uwanga wake.

sasa sijui wewe upo kundi gani dah mpaka nakuonea huruma
 
Hicho kikoozi nenda kapime TB. Utakuwa mgonjwa wewe si bure.
 
Last edited by a moderator:
BACHELOR DEGREE APPLICANTS MISSING DIPLOMA QUALIFICATIONS
Date Posted: 21st September 2015 14:43:47 Posted By: ADMISSION


BACHELOR DEGREE APPLICANTS MISSING DIPLOMA QUALIFICATIONS

The National Council for Technical Education would like to inform the following applicants for Bachelor Degree Programs that upon analysis of applications, their information is incomplete (missing diploma qualifications) .

They are therefore advised to log into their profiles and verify their information to ensure that they are selected.

To see the names please Click Here
 

Attachments

  • 1442838975857.jpg
    1442838975857.jpg
    8.5 KB · Views: 155
Back
Top Bottom