.hivyo unaposema katukana ndo basi inatosha? katukanaje? huna video? wapi na wapi hiyo ilikuwa? hebu andika kirefu cha TANU hapo!
Tukaneni kwa kadri mtakavyo ila fahamuni kuwa tumeamua kuwa Lowasa anatosha! Kura zote tutampa na hakuna kinachoweza kubadilisha maamuzi yetu. Mwiteni majina yote ila sisi Lowasa ni raisi wa awamu ya tano! Basi!!!
tukaneni kwa kadri mtakavyo ila fahamuni kuwa tumeamua kuwa lowasa anatosha! Kura zote tutampa na hakuna kinachoweza kubadilisha maamuzi yetu. Mwiteni majina yote ila sisi lowasa ni raisi wa awamu ya tano! Basi!!!
Nawaombeni san Ukawa makosa haya wanayofanya ccm muyatumie kikamilifu. Wakiwatukana washitakini kwa wananchi. na muwaeleze kwamba Lowasa hajawahi kumtukana mtu yeyote tangu aanze kampeni!
Katika Hali Inayoashiria Kuishiwa Hoja Mwigulu Nchemba Mara Nyingi Amekua Kiuara Wa Kutoa Matusi Kwenye Mikutanao Ya Kampeni Za CCM Kumtukana Mgombea Wa UKAWA Mh Lowassa Kila Kona.
Mwigulu Huyu Aliyetaka Kugombea Urais Kwa Matusi Haya Tumwite Kiongozi Wa Aina Gani? Hivi Siasa Ndio Imfanye Amtukane Mwenzake Kiasi Hiki Ambaye Naye Ana Familia Na Ndugu Wengine Wanaomfuatili?
Hivi Mwigulu Hana Familia Ambapo Yeye Ndiye Kiongozi Wake Kimaadili Nyumbani ? Ni Wapi Imesikika Kokote Lowassa Amemtukana Mwigulu Au Yeyote Yule Ndani Ya CCM?
Mwigulu Atambue Kua Hii Nchi Ni Yetu Sote Na Mwisho Wa Matusi Yake Uko Karibu Sana.