No compromising in this!!alete vyeti vya DaBPastor hana makosa kama kasema ukwel ila kama kasema uongo mbele ya jamii tena katika madhabahu ya kuabudia hafai kua Pastor
Swala na DAUD ALBERT BASHITE Ni swala zuri pia kuzungumziwa kwan ule ukwel utajulikana na uongo utajulikna tunaitaji vyet orgnal ya RC BASHITE
Ili mjadala ufungwe
Issue ya cheti si kasoro ndogo,iwe kweli au si kweli...............kuna watu wamejiondoa kwenye payroll kisa VYETIHuyu mchungaji anazidi kuwapa watu wasiwasi kwa jinsi anavyopambana kujisafsha.Ningekuwa muumin wake ningemshauri atafute njia za kiroho zaid katika kupambana Kwa sababu znamsambatsha adui kwa wepesi,na kama huoni matokeo kwa kutumia njia za kiroho unahitaji kujitizama kuna ktu kitakuwa hakiko sawa kwa upande wako na utakimbilia kutafuta kasoro ndogondogo za adui ambazo akikupuuza tu anakushinda.
RcKama nchi tunaelekea wapi tunapokuwa na mijadala katika mitandao ya kijamii,huku tukishuhudia viongozi wa aina mbili tofauti wakivuana nguo? Je nan alaumiwe kati ya RC na mchungaji!
Kama episode vile![]()
![]()
Kuna wengine tayari wameanza kutumikia kifungo jela sababu ya issue ya vyeti. Haki itendeke kwa pande zote.Issue ya cheti si kasoro ndogo,iwe kweli au si kweli...............kuna watu wamejiondoa kwenye payroll kisa VYETI
Kama nchi tunaelekea wapi tunapokuwa na mijadala katika mitandao ya kijamii,huku tukishuhudia viongozi wa aina mbili tofauti wakivuana nguo? Je nan alaumiwe kati ya RC na mchungaji!
Kama episode vile![]()
![]()
Mtoboatonge mbona umeniibia dp yangu?Aachae kweli huirudia
Mimi najiuliza tu. Anawezaje kufundisha tena somo la msamaha? Au anawezaje ile sala ambayo Yesu aliwafundisha wafuasi wake hasa pale wanapoomba "utusamehe kama nasi tunavyo wasamee waliotukosea.."?Huyu mchungaji anazidi kuwapa watu wasiwasi kwa jinsi anavyopambana kujisafsha.Ningekuwa muumin wake ningemshauri atafute njia za kiroho zaid katika kupambana Kwa sababu znamsambatsha adui kwa wepesi,na kama huoni matokeo kwa kutumia njia za kiroho unahitaji kujitizama kuna ktu kitakuwa hakiko sawa kwa upande wako na utakimbilia kutafuta kasoro ndogondogo za adui ambazo akikupuuza tu anakushinda.