hahaha nacheka una uunguja gani na wewe kama sio mkuja kutoka bara? sasa ukwel ni kua hilo eneo liloekwa katika ulinzi si la kisonge kwenye waunguja wengi na michenzani? ukitaka kumbagua mtu na wewe kumbuka ulikotoka.
na mimi lofa mkuu, hahaha toka nazaliwa siipendi brazil kwa rangi ya CCM tu, hata YANGA , ninavoichukia CCM yaan sijawahi kuvaa nguo ya rangi ya kijani na njano.
MABADILIKO LOWASSA, LOWASSA MABADILIKO.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.