Manjeta
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 393
- 239
Jamani kuuliza si ujinga, hivi hii 100k (ikimaanisha laki moja) au 200k n.k hiyo 'k' kirefu chake nini? Na kwanini iitwe ivyo? Asili yake wapi? Na je kwanini isianzie 1k, 2k nakuendelea au kwanini isiwe 1L 'L'ikimaanisha 'Laki'??..naombeni kujuzwa maana hata mimi naandikaga tu 200k 400k nafata mkumbo tu...nijuzeni ili nikiulizwa namimi niweze kuidadavua.