Mbona mafuriko yameanza mapema.
na mimi lofa mkuu, hahaha toka nazaliwa siipendi brazil kwa rangi ya CCM tu, hata YANGA , ninavoichukia CCM yaan sijawahi kuvaa nguo ya rangi ya kijani na njano.sema na mimi lofa
Hivyo kati ya hawa wawili kwenye picha ni nani mwenye afya? Lowasa anakimbia wakati Magufuli hoi anakunywa kikombe ili apone huko Loliondo!.View attachment 281605
leo ataingia hivi
Hivyo kati ya hawa wawili kwenye picha ni nani mwenye afya? Lowasa anakimbia wakati Magufuli hoi anakunywa kikombe ili apone huko Loliondo!.