Labda tu nikuambie,jamaa hakutaki na hakupendi ila hataki kukuacha kwa style ya kwamba "yeye ndio kazingua". Anachojitahidi sasa hivi ni kutengeneza mazingira ya wewe kuonekana ndio mkosaji. Akili zetu wanaume wakati mwingine tunazijua wenyewe.
Kumbuka bado ana mpenzi wake wa zamani (yule bwana yake wa zamani hajafa,na kuoa hakuwez kufanya kiporo kisipashwe).
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.