Recent content by Raja Borry 1

  1. R

    Uzi maalum wa kupeana Likes: Comment chochote upate "Like"

    Watu hawana choyo,hata wewe wamekupa likes!
  2. R

    Moja ya tabia mbaya kabisa ya wanawake ambayo inayumbisha ndoa nyingi

    Naona hata wenye id za kike humu wote wanashangaa hii tabia! Ni ajabu sana.
  3. R

    Nashindwa kumuelewa huyu mwanaume

    Labda tu nikuambie,jamaa hakutaki na hakupendi ila hataki kukuacha kwa style ya kwamba "yeye ndio kazingua". Anachojitahidi sasa hivi ni kutengeneza mazingira ya wewe kuonekana ndio mkosaji. Akili zetu wanaume wakati mwingine tunazijua wenyewe.
  4. R

    Wanaume wa JF wanaopendwa zaidi na warembo

    Inafikirisha,mpenzi wa mtu kusifia lundo la wanaume!kuna harufu ya kuibiwa hapa.
  5. R

    Sikutarajia kuumizwa namna hii!

    Kumbuka bado ana mpenzi wake wa zamani (yule bwana yake wa zamani hajafa,na kuoa hakuwez kufanya kiporo kisipashwe). Sent using Jamii Forums mobile app
  6. R

    Tatua tatizo la uume mdogo

    Hahah[emoji23] [emoji23] [emoji23] Sent using Jamii Forums mobile app
  7. R

    Kiba unapofanya "Yaaaaaa" unaharibu nyimbo na unaboa

    Team domo katika harakati za kujikwamua na mchujo wa mapema wa nyimbo zao!
  8. R

    Huwa siko comfortable kudate mdada aliyenizidi marks za shule

    Hii hatari.Mi niliishia kidato cha pili lakini sasa hivi nadeti na mwajiriwa mwenye degree.....pole sana,waone wataalamu wa saikolojia!
  9. R

    Kunuka kikwapa: Fahamu chanzo, tiba na namna ya kuepuka tatizo

    Duh Fanya kwenda Jf doctors itakuwa poa mkuu
  10. R

    Naweza kubadilisha kozi chuoni?

    Baed ni programu, na sio mfano wa kozi mkuu!
  11. R

    Tatua tatizo la uume mdogo

    Ngoja nifanye Ku subscribe hii thread,kisha nisubiri USHUHUDA...
  12. R

    Ewe msichana, kwanini uzae kabla ya kuolewa?

    Nipo serious, umempata mume...ni Mimi hapa.Weka mawasiliano tuanze kuyajenga!
  13. R

    Tetemeko Tanzania!,Taarifa Rasmi za Kitaalam ni Kutoka Marekani! . Shame on GST! .

    Pasco ina maana hujui kama Jana (siku tetemeko limetokea) ilikuwa jumamosi (wikiendi) na siku hizi hakuna posho za overtime!
  14. R

    Hatua 11 za kufuata kumshawishi mwanamke mfanye mapenzi

    Mbavu zangu zauma kutokana na hiki ulichoandika mkuu
  15. R

    Naomba msaada wa ufafanuzi wa neno "KAA VIZURI" kwa jinsi ya kike

    Kukaa vizuri ni kukaa mkao unaoendana na tukio lililopo wakati huo!
Back
Top Bottom