Tatua tatizo la uume mdogo

Tatua tatizo la uume mdogo

Ustadh inarudi kama ulivyokuwa na dawa ya kukuza uume na wakinamama wana za kurudisha kubana
Kuna vitu kama shabu ndimu nk wanatumia inarudi kama mpya sema sio bikra mkuu
Sawa kiongozi.
 
Vip ustadh hartiti ikiingizwa kwenye uume haina maumivu? Na je kutahis nini kujua inafanya kaz wakati huo
Hakuna maumivu huwa inafukuta tu kwa mbali.

Na pia ndio maana ikaitwa dawa mkuu ndio inatibu kwa style hiyo.

Karibu Sana.
 
Kuna mtu alitamani kukuza akaagiza dawa matumizi ikawa hivyo kupakaa dawa yenyewe ilikua karafuu ilikua balaa wakuu mi naona mtu aridhike na alicho nacho, mapenzi ni ufundi na ubunifu tu
Hapana kwa karafuu sishauri mtu kupaka uumeni/sirini.

Sio mujarrabu.
 
Nimevutiwa na hekima pamoja na ukarimu wako. Hakika wewe ni doctor wa kweli na umedhihirisha utu uzima. Jf imevamiwa na watoto ambao sijui walikua panya road hata sielewi. Maana unaweza post kitu serious, lakini kitakachochangiwa humo unaweza juta. Big up broh
Post of the day.

Nimependa toka moyoni hii post yako mkuu ama hakika. Ni kweli unachosema kiongozi sehemu kama hii tunakutana watu wa rika, jinsia, kabila, maadili, itikadi, dini na hata imani tofauti.

Hivyo, yahitaji busara, hekima na nidham ya hali ya juu kuweza kwenda sawa na mazingira husika mkuu.

Namshkuru ALLAH japo nna kasoro kama binadam lakini najitahidi each and everyday to be the best man I can be broh.

Thanks a lot buddy. You made my day.

Welcome bro.
 
Nimevutiwa na hekima pamoja na ukarimu wako. Hakika wewe ni doctor wa kweli na umedhihirisha utu uzima. Jf imevamiwa na watoto ambao sijui walikua panya road hata sielewi. Maana unaweza post kitu serious, lakini kitakachochangiwa humo unaweza juta. Big up broh
Ni kwelivustadh nivdoctor mzuri na nivmwenye busara sana ila hawa panya road nao ndio wanainogesha thread kwa kuhoji hata kama kuhoji kwake hakuna maana
Wanasaidia watu wengine kufahamu kutokana na ujinga wao
 
Msijaeibu huo upuuzi nyieeeeeeeeeeeeeeeeeeee!!! Italalaaaaaaaaa
Itakulakwenuuuuu
Dah huyu jamaa anatka kuwatia watu majanga!
 
Viumbe wa ajabu sana hawa, huwa wanachangia mipasho tu, issue kama hizi hawapo kiongozi
 
Viumbe wa ajabu sana hawa, huwa wanachangia mipasho tu, issue kama hizi hawapo kiongozi
Ni kweli mkuu ndio wadogo zetu na ndugu zetu wametuzunguka kwenye jamii yafaa kwenda nao sawia tu kiongozi coz hatuwezi kuwaepuka mkuu.

Tuwavumilie tu.
 
Ni kwelivustadh nivdoctor mzuri na nivmwenye busara sana ila hawa panya road nao ndio wanainogesha thread kwa kuhoji hata kama kuhoji kwake hakuna maana
Wanasaidia watu wengine kufahamu kutokana na ujinga wao
Ni kweli mkuu dadu wadogo zetu hawa yafaa kuwavumilia na kuwaelekeza si wajua mtoto akijisaidia mkononi huukati wauosha tu.

Kisha wamuelekeza mahala pa kujisaidia mwisho ataelewa tu kiongozi. Nashkuru pia kwa kampani yako mkuu. Thanks a lot.

Karibu Sana.
 
Ni kweli mkuu dadu wadogo zetu hawa yafaa kuwavumilia na kuwaelekeza si wajua mtoto akijisaidia mkononi huukati wauosha tu.

Kisha wamuelekeza mahala pa kujisaidia mwisho ataelewa tu kiongozi. Nashkuru pia kwa kampani yako mkuu. Thanks a lot.

Karibu Sana.
Nashukuru mkuu kwa kunielewa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom