Umetoa angalizo bora kabisaAthari kubwa ya kuongeza ukubwa wa pampu ni kwamba dude linakuwa kubwa ila tepetepe kishenzi kwasababu moyo unakuwa haujaji-condition kupeleka damu ya kutosha kwenye mpini in case the guy gets sexually aroused. Matokeo yake unaishia kuwa na pampu kuuuubwa ambalo haliwezi kugonga ngozi ipasavyo. Mwisho wake unaishia kuwa na maumbile makubwa kwa ajili ya show-off tu ukienda beach au ukiwa na watoto wa kike. (Na hapo ndipo topic inapohama mtu anaanza kutumia maviagra na mizizi pori...... And then and then and then......eventually mashine inaanza kuwa over reliant kwenye dawa za kuongeza nguvu.... And then unaishia kuwa hanithi..... hatimae unaweza ukajikuta unaishia kwenye upunga!) Vijana tuweni makini aiseee
Natamani kuleta Matokeo ya Huu uzi kwa picha ila Mod wata ni block!
Hartiti ndo mtego wenye "mshike mshike ndege tunduni " nisije haribu biashara za watu acha na mimi nikauze hariiitiitiiHartiti n nn hyo
Kvip mkuu fafanua soryyKuna habati soda mkuu hii ukichanganya na asali kidogo ukatamba pia ni mujarabu kwa heshima nyumbani
HahahWanaokejeli usiwajali al ustadh, utakuta wako pembeni na hartiti, si unajua mtu hataki kuonekana ana kibamia. Wewe ona tu watu wanavyotiririka ndio ujue umewagusa.
Sent from my Halotel H8401 using JamiiForums mobile app
Naombeni mniulizie kwa ustadh kuwa,mama watoto akinyonya dhakar niliyoshindilia hartiti hawezi kuwa na mdomo mkubwa?maana itanifanya niongeze kipimo cha chakula hapo home