Nipo njiani kuelekea nyumbani nikisikiliza Bunge, nastushwa na sentensi ya Mbunge kutoka Zanzibar anachangia kuhusu Muswada wa Katiba, mwanzoni ninadhani kuwa mjadala wa Muswada umefungwa kw akuwa karibu dakika tano Mwakilishi huyu anazungumzia CHADEMA. Aliponishangaza zaidi ni kuwa kule Znz...
I go through the lines sijakutana na sentensi inayozungumzia mimba na kupanda ukuta, sijui kama ndio uandishi wa kisasa ama mpasha habari alikuwa miongoni wa walipokuwepo mkutanoni?!!!!
Salaam wadau kwa uelelewa wangu mimi kama ni mtumishi katika Serikali fulani hata kama ni mfuasi wa chama chochote ambacho hakiko madarakani lazima unafanya kazi ya "KUTEKELEZA SERA YA CHAMA KILICHO MADARAKANI"
Duh, hii hatari kuna jina hapo nimeliona la Elisante Gabriel nami nilikuwa nafahamu anatambulika kama DR. Kwa mwendo huu hakuna tunachoweza kujivunia kwani hata wale tunaoona ni role model wetu baadhi yao elimu zao ni za mashaka. Tuwe wakweli katika ulimwengu huu wa sayansi na teknolojia.
Kiingereza sio our mother tongue, tangu tunazaliwa tunazungumza kama si lugha ya baba na mama, basi ni kiswahili kwa kwenda mbele. Hapa ni vyema waandaaji wakaangalia vyema vigezo vyao vya mwakilishi katika shindano hilo, ila kwa ninavyowafahamu wabongo atagangamala mpaka kitaeleweka tuu.
Sasa serikali yetu ifumbue macho na masikio kusikiliza vilio vyetu wananchi, wamekana sana kuhusu huu mgodi kutiririshakemikali katika maji tunayotumia sisi kama wananchi tunaozunguka eneo husika, nampongeza sana mtu aliyefanikiwa kumpa habari Naibu Waziri ambaye nae hakufanya ajizi akaamua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.