Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
kwani pesa haiwekwi kwenye acc zao?Wizara ya Nishati na Madini, wasingefanya hayo waliofanya kama Wabunge wasingekuwa wanahongeka?
Alafu CAG kwa nini unakubali Wafanyakazi wa Serikali kulipwa cash... weka kanununi kwamba lazima walipwe through their bank account... hapa watakamatika wakati wote.
Kasheshe.