Msechu (NHC): Natekeleza ilani ya CCM

Mkuu naona hujui unazungumza nini? Hivi kwenye sheria iliyounda shirika la nyumba inazungumzia kuwa kwamba watapitia upya utaratibu wa kupangisha? Ilani ya Chama kwa wakati husika ndio inayoweza kusema nini kifanyike kwenye sekta husika na nini kisifanyike. Unataka kusema Ununuzi wa Meli mpya ziwa Victoria upo kwenye sheria iliyounda mamlaka ya bandari? UUzaji wa nyumba za serikali umo kwenye seria iliyoanzisha NHC au ilikuwa ilani ya Chama? Ubinafsishaji, ujenzi washule za kata, ujenzi wa barabara n.k ni vitu gani kama sio ilani? Kinachofanyika Bunge linapitisha tu bajeti ambayo inatekelezwa na watumishi wa serikali.
ni kwa sababu inaelekea bado huoni tofauti ya chama na serikali. Chan's kinajiendesha kwa matamko ya vikao na ya viongozi wao. Serikali inaendeshwa kwa Sheria na maamuzi bunge. Ni kinyume cha Sherpa kwa mtumishi wa serikali kuchanganya matamkoyakisiasa kwenye utendaji wake. Lazima Ccm wabadilishe ilani yao iwe sheria ya bunge ndipo itambuliwe kisheria
 
Obama na Democrat ktk ilani yao ya uchaguzi walipanga kubadili mfumo wa afya waliposhinda walipeleka hoja hiyo bungeni kupata ridhaa ya utekelezaji.
 
..Kutekeleza Ilani ya Chama kulichoko Madarakani ni sawa Jamani lakini hii ni kinadharia zaidi..Maaana yake ni kwamba Ilani inaweza kutafsrika katika Sera, Miongozo na Maelekezo ya Mara kwa mara ya Serikali...Sema kiukweli huwezi kutamka moja kwa moja kwamba natekeleza Ilani ya Chama ilihali wewe ni mtumishi wa Umma!!!..Sasa kama Mchechu anatekeleza Ilani ya Chama, Werema naye anaweza kuibuka na kudai natekeleza ilani ya Chama na CAG naye aseme hivyohivyo...ofcoz iatakuwa ndivyo sivyo..
Kinadharia inaweza kuonekana hivyo lakini kwa wale watumishi wa UMMA ni bora wakawa wanasema wanatekeleza maelekezo ya Serikali kuliko kusimama kwenye 'back up' ya Chama!!
 
  • Thanks
Reactions: SG8
Nakubaliana nawewe kwamba something definetely need to be changed.

Lakini kwa kuprofile race does it mean NHC wanataka kuintroduce quota system hata kwenye upangishaji wa nyumba zao?
au labda what is the significance of such an exercise?

Sijui umetafakari the wider implication ya kila landlord akiamua kuprofile wapangaji wake kwa kutumia race, kabila, dini mwisho
wake utakuwaje?

Halafu sijaelewa kwa kupandisha bei ya pango by over 300% kunawezaje kuchukuliwa kama ni affirmative action, maana kwa
ninavyoelewa affirmative action inatumika kuwanyanyua(kuwabeba) wale waliokua disadvantaged historically.

Nitashkuru ukiweza kufafanua zaidi.
Kuhusu kupandisha bei,sidhani hilo suala ni la kisiasa(it might be), inawezekana wamefanya cost analysis au wamejiamulia tu.
Kuhusu race/ affirmative action inasaidia kuwapa kipaumbele wananchi ambao race yao inaonekana haibenefit katika suala zima la upangishaji. Inaweza kusaidia kuvumbua mbinu ya kuwarahisishia access kwenye nyumba hizo ili zi reflect population dynamics. Kwa mfano, kama wabantu wengi (per capita) si wapangishaji wa NHC, inasaidia ku design na kuimplement ways za kuwasaidia nao wanufaike na nyumba za shirika hilo. The best way ni kuwasaidia bila kuwafukuza wapangaji waliopo. Historically asians were the technocrats wa Colonial government, pia they were a merchantile society ya Tanzania, but things change. Most technochrats are Bantus/Blacks nowadays, so we need to come up with the way of improving their tenancy....Otherwise it won't be fair.
So, yes it's a good idea if it has good intentions. But the opposite can be true (unfair if they have bad intentions i.e suppressins the asian tenancy).
 
Hapa nchini kuna tatizo la watu kushindwa kujua wanawajibika kwa nani katika sekta za umma hasa kutokana na utamaduni mbaya na wa hatari wa kuchanganya serikali na CCM.
Hii ndiyo maana utakuta waziri anawaambia watu kuwa kujenga barabara, mashule, huduma za afya, makazi, nk ni utekelezaji wa ilani ya CCM. Hii si kweli kwa sababu hizi ni huduma za lazima na ni haki ya binadamu yeyote kuwa nazo hivyo huwezi ukasema ni sehemu ya ilani ya chama chochote. Ilani katika mambo haya zinatofautiana katika kuyatimiza au mbinu za kuyaboresha.
Hii yote ni michezo ya cheap politics ambazo wanajua kuwa wengi hawana uwezo wa kuzichambua.
 
Hapa nchini kuna tatizo la watu kushindwa kujua wanawajibika kwa nani katika sekta za umma hasa kutokana na utamaduni mbaya na wa hatari wa kuchanganya serikali na CCM.
Hii ndiyo maana utakuta waziri anawaambia watu kuwa kujenga barabara, mashule, huduma za afya, makazi, nk ni utekelezaji wa ilani ya CCM. Hii si kweli kwa sababu hizi ni huduma za lazima na ni haki ya binadamu yeyote kuwa nazo hivyo huwezi ukasema ni sehemu ya ilani ya chama chochote. Ilani katika mambo haya zinatofautiana katika kuyatimiza au mbinu za kuyaboresha.
Hii yote ni michezo ya cheap politics ambazo wanajua kuwa wengi hawana uwezo wa kuzichambua.
Si kweli.
CCM government, Democrats/Republican government.
Serikali inaundwa na Executive branch, ambayo ipo chini ya Rais ambaye huteua mawaziri,Makatibu wakuu ambao huteua Wakurugenzi wa wizara eg DMDAs ambao ndio wakuu wa wafanyakazi wa wizara hiyo.
Wizara zinasimamia mashirika mbalimbali ya umma, na wakurugenzi wa mashirika hayo huteuliwa na RAIS( I think). Hivyo basi, kwa kuwa mgombea urais hujinadi kwa kutumia manifesto ya Chama chake ni wajibu wake kwa wananchi waliompa ridhaa (wether you believe it or not) kuimplement
manifesto ya chama chake kwa ku design policies mbalimbali.
But those policies ni lazima zipitishwe na Bunge ambalo ni mwakilishi wa wananchi wa majimbo mbalimbali. Zikishapitishwa,mawaziri na wakurugenzi wa mashirika ya umma inabidi wafanye shughuli zao kufuat policies zilizopo eg villagisation policy ita affect Benki kama ya CRDB (ACTUALLY THATS WHY IT WAS STARTED).
Shirika la nyumba nalo ni lazima li-operate kutokana na policies za Government iliyopo, kama mkurugenzi hataki, basi hujiuzulu au kuacha kazi au kufukuzwa na kumleta mwingine anayeweza au aliye willing kufanya hivo.
So, the dude is working for a Public corporation, he has no choice but to do his job according to the current government policies, which are derived from the Manifesto of the ruling Party.
as long as the legislature is cool with it.
 
Wandugu nimeona news muda huu na nimemsikia Msechu anasema kwa kusisitiza anasema ayafanyao yeye huko NHC anatekeleza ilani ya CCM.

Kindly guys help me to understand, hii imekaaje?

Imekaa vibhaya, hii bado haijatuliaaaa... Imekaa vibhaya hii bado jatulia!!!!
Kaka mwenyewe nilichoka nilipomsikia.
 
Hekima na busara nyingine watu sijui wanazitoa wapi, eti anatekeleza ilani ya chama cha serikali inayotawala kwa kuivua nguo serikali tawala hadharani. Busara yangu inanituma ni mshauri huyu bwana Nehimia anze kutafuta kazi sehemu nyingine, maana hapo NHC kwa wenye akili ndio kibarua kimeshaisha hivyo, hayo mengine ni suala la muda tu.

Hapo mkuu umenena. Ukiangalia shutuma za Azim Dewji juu ya NHC kwenye Mwananchi ya tarehe 10 Oktoba 2011 ukurasa wa 13 unajuwa kabisa huyu Bwana siku zake si nyingi pale NHC. Arudi kwenye banking industry atafanya vizuri zaidi.
 
Kipengele ilikua muhimu kukitaja ili tujue kama kweli tafsiri ya hicho kipengele inaendana na mambo yanayofanywa na NHC.
Mfano, kutengeza forms za kutaka kujua rangi ya ngozi ya wapangaji(racial profiling) imeandiakwa kwenye hiyo ilani? Huku tukijua
jinsi waasisi wa taifa letu walipingana na ukaburu kwa kila hali?

Na je serikali ya CCM inayosema haiwezi kupandisha kima cha chini cha mshahara kufikia laki tatu na nusu mpaka kurisk migomo
inapata wapi ujasiri wa kubariki viwango vipya vya kodi anavyopendekeza bwana Mchechu vya laki 5 kwa mwezi? Je sababu kuu
ya uanzishwaji wa NHC inazingatiwaje hapa ya kuwapatia affordable housing wananchi.

Isije kuwa "Natekeleza Ilani ya CCM" ikawa ni tired slogan isiyokuwa na mashiko yeyote.

Mkuu Balozi hilii liko wazi kuwa Chma kinachomilki madalaka ndio chenye ilani ya kuendesha Nchi.Hivyo chama kilichoka madarakani ambacho ni CCM dila yake ya kuendeshea Nchi.Hivyo dila hiyo ugawiwa kwa wakuu wote kuakisha kuwa maazimio na makusidio ya chama husika yanafikiwa ili kesho kwenye uchaguzi ujao kiseme wazi kwa mabosi wake [Wananchi] kuwa yale tuliyoaambia kuwa tutaimiza basi majibu yake ni haya.

Hivyio Mchechu kusema hayo wazi ni SAWA na hata kesho kwa mazuri au mabaya basi CCM watajibu mbele ya waajili wao ambao ni Watanzania [ Waasia,Waarabu,Wazungu, na Wamatumbi ] kuwa wamekubaliana na utekelezaji wa ahadi ya uchaguzi.

Hivyo hayo mengine bwana balozi ni changamoto [Challange] za utendaji ambazo hazizui Shirika kutekeleza maagizo ya utekelezaji wa ILANI YA CHAMA MADALAKA.
 
  • Thanks
Reactions: SG8
Hapo mkuu umenena. Ukiangalia shutuma za Azim Dewji juu ya NHC kwenye Mwananchi ya tarehe 10 Oktoba 2011 ukurasa wa 13 unajuwa kabisa huyu Bwana siku zake si nyingi pale NHC. Arudi kwenye banking industry atafanya vizuri zaidi.

Duwa la kuku Mkuu.
 
Du!q kwanni kawa kada wa ccm mpaka,anajikoksha tu kwa magamba ili kacheo kake wakalinde.mbona shirika lenyewe alibadilik mijaka nenda rudi?ilani yha aina anayoitekeleza
 
My friend Nehemiah, Just do the right thing as you have been doing so far. I know you know this, that your operations are, or at least they should be, guided by your Board and the appropriate relevant statuses. We also know that you are currently serving under the current government, but your service is definitely larger that the government. Did you really have to justify your actions by making reference to CCM Manifesto? What you did yesterday is exactly what other CEOs for public corporations have been doing in this country and they failed miserably because, instead of doing the right thing, they're busy doing what was politically correct! We thought and you made us believe that you're different, or are you not??!!
 
  • Thanks
Reactions: SG8
Mimi I tend to agree with Kitila hakika but am still very much shocked huyu kijana umri ule na kazi zake kumbe ana serve CCM na is Tanzania na watanzania.Hii imekaaje hii jamani mie bado kabisa ninazidi kujiuliza .Nauliza tena imekaaje ?
 
My friend Nehemiah, Just do the right thing as you have been doing so far. I know you know this, that your operations are, or at least they should be, guided by your Board and the appropriate relevant statuses. We also know that you are currently serving under the current government, but your service is definitely larger that the government. Did you really have to justify your actions by making reference to CCM Manifesto? What you did yesterday is exactly what other CEOs for public corporations have been doing in this country and they failed miserably because, instead of doing the right thing, they're busy doing what was politically correct! We thought and you made us believe that you're different, or are you not??!!
dr,
Let's say you are the CEO of Air Tanzania during Nyerere's time. Would you start flights to Seoul or Jerusalem just because it's financially viable? Even if our foreign policy was against cooperation with Israel and South Korea?
Remembewr we used to have sanctions against South Koreans who are now one of uor main sponsors (Malagarasi bridge).
 
  • Thanks
Reactions: SG8
Salaam wadau kwa uelelewa wangu mimi kama ni mtumishi katika Serikali fulani hata kama ni mfuasi wa chama chochote ambacho hakiko madarakani lazima unafanya kazi ya "KUTEKELEZA SERA YA CHAMA KILICHO MADARAKANI"
 
  • Thanks
Reactions: SG8
Hivi wizara zisizo lipa pango NHC zinatekeleza ilani ya chama gani?
 
Bwana mdogo yuko sahihi lakini,Magamba ni tatizo ajikumbushe ya TIDO MHANDO na TBC.Kazi ni nzuri lakini watawala wanamatatizo wasije wakaharibu maendeleo ya Mchechu
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom