Wewe ujaanzaje kuwahukum waliofanya hivo kama haujui kusoma vitabu vya dini na kunukuu maneno ya M.mungu bota ukae kimya kwani haujui maana ya kufunga nini ila sikulaumu wewe bali mtazamo wako pole sana
Ndugu zangu wapendwa tupo katika wakati mgumu kimaisha japo nasema hivo kwa walio wengi wako hivo inakuaje linapokuw alimetokea tatizo tunawahi kulaum na kuja juu kwa bila kutafakari mfano.
Timu ya taifa ikifungwa utasikia Waziri awajibike, hivi kweli jamani nimeona mtu mmoja anasema waziri wa...
Pale Bungeni tatizo ni kwamba tunaleta siasa badala ya kufanya kazi unakuta chama tawala kinameza michango wa vyama vya upinzaji coz hawapebdi kukosolewa ila kama hoja zingekuwa zinachukuliwa na kufanyiwa ufumbuzi mambo yote shwari ila ndio hivo wao wakula Kodi zetu mwishovwa siku tunawalaumu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.