Mkuu kwani wewe unatumiaje hiko kitunguu swaumu hadi kinaacha harufu mdomoni,
Nijuavyo mimi unashauriwa kumeza tembe (punge) za kitungu swaumu ili kuepuka hiyo harufu.
Ila nakushauri utumie tangawizi hasa kwa kutafuna kipande kidogo usahidia kuondoa harufu pia
Cc Mzizi Mkavu
Huu utandawaz umeleta balaa dah mkuu usichelee wah kabla ujaingiwa na moyo wa huruma hawa ni wakuachwa tu weng wao hawajielew inavyoonekana ana tamaa huyo.
Huku demu kunuka papuchi siku hizi ni kawaida nmajitakiwa wenyewe kwa kuzidisha makeup huko chin we unaweka mapafyum kibao bila hata kuangalia vitu vilivotumika kutengenezea hiyo pafyumu baada ya muda inageuka kuwa uvundo balaaa tupu. Kunuka papuch sio uchafu siku hizi ni ujinga wa kuendekeza...
Kizuri kula na nduguyo kama anahudumia wanasaidiana ila hapo ndo inaonesha jinsi gan huyo mdada ajitambui kashindwa kufanya ahudumiwe hadi ajidharirishe nje. Papuchi kweli imekua mtaji.
Hayo yanaitwa tumalizane leo leo shida sitaki, hapo inaelekea karudi kwa mshikaj wake wa zaman au bado anapima raha ya utamu hakiipata ndo atakapotulia usiumize kichwa mdau mapenzi ya kileo
Hapa umemaliza kila kitu mkuu tatizo dada zetu wamekaa kimaslai yao zaidi mana mwningine ukimuliza nin maana ya kuhudumiwa atakwambia kutolewa out na starehe nyingne zisizo na mantik yoyote ktk maisha na unaposhindwa hapo unaonekana umeshindwa kuhudumia
Unakuta mdada bajeti yake ya makeup ni...
Hapa bado najiuliza hili swala la haki sawa kwa wote linamanisha nini ikiwa mnalalama kujitetea muhudumiwe. Nieleweshe hapo kabla sijakupa like miss chaga
Mkuu sinaga kawaida ya kujiunga huduma yoyote ila ktk mitandao ya simu zaid ya vifurushi vya maongezi na intanet tu.
Huu ni wizi mkuu siku nyngne wanakata salio tu bila hata kutumiwa sms unakuta umeweka 1000 ukichekhek baadae kuna 800, huu ni ukosefu wa maadili ya wafanyakaz tu.
Nimepokea hii sms toka tigo:
From +15668
Umetozwa sh.150 kwa ajili ya hadithi ya PENZI LA MAPACHA. Piga 0901656564 kati ya saa 1 na saa 5 usk kuendelea na simulizi yako. kujitoa tuma ONDOA kwenda 15668
sender +15668.
Hii imekaaje wadau sio wizi huu mtu ujajiunga hizo huduma zao halafu bado...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.