Hahaha,unanipa raha.kwa kweli Mimi mwenyewe nimemuacha MTU kwa sababu hii.kwa sababu sipendi kukaa na MTU ambaye hana msaada.MTU unaweza ukaugua ukimwambia anakujibu "hivi kwani Mimi ni daktari"
the type of men u date says alot about u
Hahaha,unanipa raha.kwa kweli Mimi mwenyewe nimemuacha MTU kwa sababu hii.kwa sababu sipendi kukaa na MTU ambaye hana msaada.MTU unaweza ukaugua ukimwambia anakujibu "hivi kwani Mimi ni daktari"
bikra ni sawa kujithamini na uvimilivu.... lakin bado haibadilishi majukumu ya mwanaume....[/QUOT
mwanamke kuhudumiwa na mwanaume ni jukumu lake nae mwanamke kuolewa akiwa bikra ni jukumu lake. sasa wewe umeshindwa jukumu lako na kujishusha thamani bado wataka kuhudumiwa vile vile halipo hilo.
hana jipya. Frustrations za vi boi vyenu mwaja tujumuisha wote hapa.
Chief as long as umeshamuweka ndani kama mke wako haijalishi ulimkuta bikra au tayari bwawa kuwa responsible kwake sio jambo la kufikiria tena bali ni jambo la lazima, usipofanya wewe kwa njia moja au nyingine utasaidiwa, halafu usiombe mke wako aanze kuliwa kisa kutokuwajibika kwako, jamaa anapewa yote mpaka zile style ambazo wewe haujawahi pewa..
sema povu limewafikia wasafishaji wewe!!!
sahv naona imekuwa palestina na Israel au gazahahhahaha duh hivi vita sijui mwisho wake nini? maana kila siku ni thread za makombora toka kila upande, naona leo akina mama/dada nao wameamua kujibu mashambulizi! Yangu macho tu
Na mbunye yako inathamani ya kuhudumiwa?
kwa nini uwe na mtu usiyekuwa na future naye? kama mtahudumiana mahitaji ya mwili mnasema kupunguza uzito ... basi muhudumie na yeye atakayoyahitaji....hapa siongelei wanawake wachunaji naongelea mwanaume kuwa responsible... mwanaume kuchunwa ni kutokana na we kushindwa kufanya majukumu yako kwa hiyari
Ndio ihudumie,,,,,,,,,,, nyie si ndo wa kwanza kuleta thread ooooh demu ananuka kama panya elioza!!!!!!!!!!!!!
KakaJambazi amka acha kulalamika
Huku demu kunuka papuchi siku hizi ni kawaida nmajitakiwa wenyewe kwa kuzidisha makeup huko chin we unaweka mapafyum kibao bila hata kuangalia vitu vilivotumika kutengenezea hiyo pafyumu baada ya muda inageuka kuwa uvundo balaaa tupu. Kunuka papuch sio uchafu siku hizi ni ujinga wa kuendekeza urembo usio na mantiki.
huwa napata hasira sana
kuona jianaume linalalamika kumuhudumia mkewe,
ulitongoza ya nini?
Wakati sikuizi nyie ndo mnatongoza wanaume.
kuna mkanganyiko hapa....wanaume kwa wanaume wanatongozana!!!!!????????