Kijana leo
JF-Expert Member
- Apr 6, 2012
- 2,860
- 812
kuna kitu kagundua, mwanamke akupe uchi siku moja kisha akuache yeye, jitafakari hapa ushauri hakuna jiangalie mwenyewe.
Sijalazimisha mkuu
Kuhusu performance sina wasiwasi na hilo huenda kuna sababu nyingine.
hujamkuna vilivyo kaona unamchafua tu ya nini kujichosha? bora awe singo tu.
Habari wana MMU
Kuna binti niliyetokea kumtongoza kama mwezi mmoja uliopita, katika kufahamiana nikagundua binti huyu alikuwa na mpenzi akaachwa.
Yeye pia aliniambia hilo.
Majuzi alikubali Kunipa mchezo usiku kucha bila hiyana na akawa amesafiri.
Nikimtumia meseji hajibu anakuwa kimya tu.
Usiku huu kanitumia huu ujumbe.
Sorry but naomba tubakie like a sister and brother kwa sababu mapenzi yamenichanganya sitaki kuwa na boy yeyote tena in ma life nataka niwe single please nielewe even though tushajuana.
Wakuu naombeni ushauri wenu nitamrudusha vipi kwenye reli maana bado nampenda na hatujawahi kukwazana sijui kapatwa na nini.
Niko -ve mkuu!!
Habari wana MMU
Kuna binti niliyetokea kumtongoza kama mwezi mmoja uliopita, katika kufahamiana nikagundua binti huyu alikuwa na mpenzi akaachwa.
Yeye pia aliniambia hilo.
Majuzi alikubali Kunipa mchezo usiku kucha bila hiyana na akawa amesafiri.
Nikimtumia meseji hajibu anakuwa kimya tu.
Usiku huu kanitumia huu ujumbe.
Sorry but naomba tubakie like a sister and brother kwa sababu mapenzi yamenichanganya sitaki kuwa na boy yeyote tena in ma life nataka niwe single please nielewe even though tushajuana.
Wakuu naombeni ushauri wenu nitamrudusha vipi kwenye reli maana bado nampenda na hatujawahi kukwazana sijui kapatwa na nini.
sitaki kuamini kama wrwe ni kibamia..
Msamaha kwa kosa gani mkuu