miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,805
- 49,104
- Thread starter
- #101
kwani nimebisha hakuna mwanamke malaya ila tunashindwa kuwatunza kwa sababu hatuna nguvu za kuwalinda maana wapo wanaume wanaenda na wenza wao kazini saluni sokoni kwenye kitchen party kwenye vikao vya kazini kwake kwa hiyo hao ni wachache ila tuliobaki ni legelege
yani ni zaidi ya lege lege