Nisaidieni jamani

Nisaidieni jamani

Nenda kanunue Primolut N.
Ni kidonge kimoja tu kidogo tu bei yake ni Tsh.1,000 au 1,500.
Mpe ameze kabla ya 72 hours after sex, acha kupoteza muda hapa jamvini.

Akimbie ila aangalie asigongwe na gari maana najua sasahv ni anakimbia haswa.
 
Habari wana Jf wenzangu. Mwenzenu nimefanya mapenzi na Dada mmoja ambae nimwanafunzi wa Form five tuli tumia Kondom lakini kweli ile Kondom haina mana ilitoboka bahati mbaya bilakujua na mimi nikajikuta nimesha mwaga ndani.

Sasa nisaidieni njia yoyote ili Mimba isiendelee kukuwa ni Siku ya pili leo toka tufanye mapenzi. Jamani naomba kama hutaki kuchangia usintukane .

asanteni.

We Mtoto Siku nyingine ingia gharama kidogo ununue Rough Rider badala ya kutumia vicondom cheap kama unataka kumlinda Mtoto mwenzio
 
Habari wana Jf wenzangu. Mwenzenu nimefanya mapenzi na Dada mmoja ambae nimwanafunzi wa Form five tuli tumia Kondom lakini kweli ile Kondom haina mana ilitoboka bahati mbaya bilakujua na mimi nikajikuta nimesha mwaga ndani.

Sasa nisaidieni njia yoyote ili Mimba isiendelee kukuwa ni Siku ya pili leo toka tufanye mapenzi. Jamani naomba kama hutaki kuchangia usintukane .

asanteni.



ww mtumwa wa ibilisi kama jina lako lilivyo uache dhambi!
si kila ngono ni mimba mpaka Dr kuthbitisha,au kuwa dalili kamili baad a ya wiki mbili.
 
Back
Top Bottom