MO11
JF-Expert Member
- Mar 23, 2014
- 19,553
- 41,467
ukiona unapangishwa ujue wote amjielewi
aisee...!!
Kivipi ?
Wengine umalaya upo kwenye damu akiamua ameamua sio kwamba amekosa mahitaji au we unaonaje ?
ukiona unapangishwa ujue wote amjielewi
Mim huwa nasema hii tabia ya hawa wandugu kulalamika inakera.......... binafsi siipendi.... ukikutana na mwanaume wa hivi ni kero tupu mtu hukai kwa aman akiingia ndan analalamika akitoka analalamika.... kero tupu gubu si gubu.
sasa mwanaume wa hivo akikutana na mwanamke golikipa mbona utasimangwa hadi ukome..... afu huo ni uoga wa maisha mwanaume wa hivi hata maendeleo hana...
aisee...!!
Kivipi ?
Wengine umalaya upo kwenye damu akiamua ameamua sio kwamba amekosa mahitaji au we unaonaje ?
..Selfishness at it's best. Upo na mimi unagain nini, mwenzako nae anajiuliza ''nipo na wewe nalose nini''... miss chagga, kumhudumia mtu sio jambo baya, ni vema ukiwa na mtu umpeti kwa vizawadi lakini nadhani kama unataka wote tuwe realistic, jaribu kuangalia pande mbili. Hebu mshauri afanye nini kwa ajili ya future, mpe mawazo yako, katika biashara, vitega uchumi, sio kulalama ooh, mimi hanipi hata senti.
Ukifanya hivyo, hata kijana anaona yupo na mtu ako na constructive mind, sio kila uchao wewe ni kuomba laki mbili..za nini, kwenda kigodoro...!
mwanaume unayejitambua huwezi kupangishwa kwa sababu unarule na power kwa huyo bibie..... kama anapata kila ktu kutok kwako she dont have a say rather than to obey ,.... ila kama unalega lega uwezi mwambia kitu atakucontrol kesho siji nakweli haji without strong reason.......poor management lead to poor outcomes okey...
ha ha ha ha h siyo mashabiki huo ndiyo ukweli
hakuna cha ukweli hata kimoja hapo!!!!
mimi nimefundishwa udereva naendesha hadi mapenzi...!!! kuhudumia ni ub.oya wa kiji.nga!!!
aisee..... haya maneno mmmhh
basi wanaume wengi duniani ni legelege
na wanawake wengi duniani ni legelege
ndio kwa sababu wanachapiwa
nakwambia hadi mandella alikuwa lege lege ndio alichapiwa mpaka akahama nchi na kuja kupumzika Tz
na aliyechapiwa na babu seya kweli ni legelege muulize mh wa ubungo
ndio hivyo asilimia kubwa ya watu duniani ni legelege kwa mujibu wa maelezo yako
Hapa bado najiuliza hili swala la haki sawa kwa wote linamanisha nini ikiwa mnalalama kujitetea muhudumiwe. Nieleweshe hapo kabla sijakupa like miss chaga
Ndiyo ukweli kuna sehemu umekuwa loose... your weakness is my strengthen.
hiyo nayo ni shidah nyingine wanawake tunayo ila ni kutokana tunamajukumu sawa..... natoka kazini na we unatoka kazini sini hela yako uniambie nikusinge, nikufute ? kiongozi wa nyumba akishindwa jua majukumu yake waliopo chini yake watakuwa hovyo pia....
Kuhudumia mke ni jukumu la mume, awe ana uwezo mkubwa au mdogo. Hata vitabu vya Mungu vinasema hivyo. Mke azae kwa uchungu na mume ale kwa jasho. Lakini miss chagga, je mwanaume kuhudumia mtu asiye na future nae ni kosa la nani?
We always pay for our mistakes, na nyie wadada jaribuni kuwaasa vidume wenu wawekeze badala ya kuwahonga, unategemea kijana aliyemaliza chuo, anaanza na mshahara wa 300K na ndio kipato pekee cha mwezi, aje kukuhudumia vizuri baadae kama wewe ndio wa kwanza kuchukua 60% ya kipato chake leo? Msilalamike kuwa vijana hawawahudumii, wahimizeni wawekeze ili waweze kuzihudumia familia zao baadae.
Mtu ambae sio mke wangu, sina jukumu lolote nae, yuko chini ya wazazi/walezi wake. Pesa yangu ni kwa ajili ya kujiendeleza, kuwekeza ili kuitunza familia yangu baadae...!
sasa miss chagga leo utakuja gheto...!!!!
wanawake wa kiafrika siku mkiacha kumuona mwanaume kama mtu pekee anayeweza ingiza pesa labda mtabadilika..
Siamini unakuja humu na lawama ati mnatongozwa ili mpewe hela, tofauti na malaya anayejiuza mtaani ni kua yeye anafanya direct afu wewe indirect... lakini wote walewale tu....
Stop acting stupid! mwanamke mwenye mawazo yako ntachezea tu ila siwezi weka ndani, ntakugeuza malaya ambaye nakula mzigo kwa kumlipa vijipesa na vizawadi vidogo vidogo maana ndo level uliyojiweka
Hapa umemaliza kila kitu mkuu tatizo dada zetu wamekaa kimaslai yao zaidi mana mwningine ukimuliza nin maana ya kuhudumiwa atakwambia kutolewa out na starehe nyingne zisizo na mantik yoyote ktk maisha na unaposhindwa hapo unaonekana umeshindwa kuhudumia
Unakuta mdada bajeti yake ya makeup ni mshahara wa mwanaume kwa mwezi halafu unataka kuhudumiwa yote hayo.
Nakumbuka kuna mtu alileta uzi hapa kuwa demu wake ataki kufanya biashara wa kusomeshwa ila nae mwisho wa siku atasema hahudumiwi.
Nikimwambia :"usiende kazini i will provide for you..."
Atakubali? si atasema naleta mfumo dume... si atasema namnyima haki yake.... si ataleta mastori milioni ....
Personaly pesa ya mwanamke ya mshahara anayoipata ni ya KWAKE.... atumie atakavyo.... ya kwangu ndio ya kwetu. Na ikitokezea nimeazima ya kwake huwa nahesabu ni deni ambalo lazima nimlipe....
Hivyo ndio tulivyofunzwa na wazee... kinyume na hapo chaos!!!