Nimekaribishwa chumbani kwa demu

Nimekaribishwa chumbani kwa demu

hahahha huyu ndo wale unamwambia nataka nikutoe lunch anakuja na kundi la marafiki hahahahah ungashmabna ni shingida looooh
Umekaribishwa wewe unabeba na marafiki. Huu ushamba tutaacha lini?? Marafiki mnaongozana kila sehemu. You need to grow up.
 
Wote mnaompiga vijembe kwamba hakumgegeda nanyi malimbukeni msiotumia akili. Pamoja ya kwamba hakusoma alama za nyakati, mlitaka mtu anaalikwa kwa mara ya kwanza kisha akagonge hata hajui mazingira? Mafumanizi ndo yanatokeaga hapo.
 
Kuna demu mmoja nilishamuomba namba na sijawahi kumtongoza hata siku moja.

Baada ya kuwasiliana mwanzoni texting and calling baadae akanipotezea (mademu hadi umtxt au umcall yeye).

Nikadelete namba yake, nashangaa siku moja unknown calling kwa simu yangu.

Nikarespond, sikuweza kumfahamu akajitambulisha ila nikafix kuwa simu yangu huwa haioneshi majina kwa namba zinazoanza na 0.... bali +255....

Akakubali na kusema no worry. Kanikarbisha kwake (ni single) nimekuta mazaga zaga mengi. Mayai, soda, maji, chips, kitanda dressed well, amedeki chumba.

Ila nilienda na rafiki yangu na alionekana kutofurahi.

Je alikuwa amejiandaa kwa mgegedo au ndio ukarimu wake?

Hadi leo yupo quiet na mimi sijamtongoza.

ushauri jamani.


Hongera mdau kwa kuruka mtego mana tulikua tunajiandaa kukusanya rambirambi hapa jf
 
Umekaribishwa wewe unabeba na marafiki. Huu ushamba tutaacha lini?? Marafiki mnaongozana kila sehemu. You need to grow up.

huhu mwenda kupiga vizinga kama madem
 
Back
Top Bottom