Recent content by Qunax

  1. Qunax

    Mtoto Elijius Dastan Kalumuna amepotea

    ANATAFUTWA
  2. Qunax

    Muongozo na ushauri kwa wanafunzi waliopokea matokeo ya kidato cha nne 2018

    Nna mdogo wangu amemaliza form 4 shule ya ufundi amepata daraja la kwanza naomba ushauri wadau kati ya kumuacha aende zake form 5 kusoma PCM na kumpeleka DIT Diploma kipi kiko Marketable zaidi?
  3. Qunax

    Pes 2017 CPY

    Naomba Msaada kutoka kwa gamers jinsi ya kupatch pes 2017 version ya CPY kupata graphics,new faces and real team names za pes 2018. 10% percent itahusika kwa atakaenielekeza nikafanikiwa.
  4. Qunax

    Hivi kuna starehe inayozidi ngono(sex) hapa duniani?

    Kuhesabu hela zako hasa zikiwa nyingi.
  5. Qunax

    Lowassa Rudi Kenya ukapatanishe Wakenya wasiuane

    Kuna uwezekano asirudi
  6. Qunax

    Kwa aina hii ya vijana wa CHADEMA ni ndoto kuiondoa CCM Madarakani

    Mafisadi. Sijawahi kusikia fisadi aliepelekwa jela au kunyongwa. Zaidi ya wale ambao walipewa adhabu ya jela miaka 2 na kufagia Muhimbili. Wauza madawa. Sijawahi kusikia aliepelekwa jela wala kunyongwa zaidi ya yule mliempotezea muda wake wa kununua mbaazi. Ni drama tu kama Isidingo just its...
  7. Qunax

    UDOM ni Jipu, hadi leo wameshindwa kutoa "Selection" ya Chuo

    TCU wametoa tangazo kwa watu ambao wamekosa kuchaguliwa awamu ya kwanza waombe tena na utaratibu wa kuomba wamesema ni ule ule wa kuomba direct kwenye website za vyuo sasa cha kushangaza vyuo kama UDOM au MZUMBE tangu hilo tangazo limetolewa hiyo jana bado wanasema application closed sasa tuombe...
  8. Qunax

    Ushauri: Wakufunzi wa vyuo vya elimu za juu watumie JamiiForums kama moja ya materials ya kujifunza kwa wanafunzi

    Nashauri baadhi ya wakufunzi wa vyuo vya elimu za juu watumie JamiiForums kama moja ya materials ya kujifunza kwa wanafunzi wao au wao wenyewe maana naona imekuwa kama google nowdays kila unachosachi unakuta kilishajadiliwa na watu wenye upeo tofauti tofauti. Ni kitu kizuri sana.
  9. Qunax

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Njoo Kibiti nije Dodoma Manispaa. Sent using Jamii Forums mobile app
  10. Qunax

    Fifa Mobile

    Wadau wa Fifa Mobile tukuje hapa tupeane maujanja. Sent using Jamii Forums mobile app
  11. Qunax

    Msemaji wa Serikali akiri ndege mpya ya Bombardier Q 400-Dash 8 kushikiliwa nchini Canada. Awatupia lawama wanasiasa...

    Wakati Trafiki, TRA na Sumatra wanawaonea boda boda kwa kukamata piki piki zao. Ndege yao nayo imekamatwa boda boda wamelipa fain elf 30, wao wanalipa bilion 80. Sent using Jamii Forums mobile app
  12. Qunax

    Kama Star TV wamefunguliwa, tegemea maajabu ACACIA

    Kuna wa BOT walioiba matrilion boss waliishia kufagia Muhimbili ndo adhabu yao na kuna yule wa TRA tulisikia ana nyumba 72 juzi tumesikia hana kesi ila we iba kuku uone.....utoe usia mapema Sent using Jamii Forums mobile app
  13. Qunax

    Naomba kueleweshwa kwanini walimu hawaongezewi mishahara?

    Kada zote Tanzania mtu anapoongeza elimu na kima cha mshahara pia huongezeka. Cha kushangaza katika kada ya elimu tu hiko kitu hakipo, tatizo ni nini mbona Walimu wananyanyaswa sana na kufanywa kama tambaa la makamasi? Hivi walimu si ndio huwa wanatumika kwenye vituo vya kupigia kura mnadhani...
  14. Qunax

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Hii mechi nliichek online mzee hao starjan jamaa alibaki ye na kipa akapiga nje haya makampuni makubwa ya kubeti yanatuzingua sana
  15. Qunax

    Hawa wanaotumbuliwa wanapewa adhabu gani?

    Hawa wanaotumbuliwa wanapewa adhabu gani? Maana nasikia kuna wakurugenzi wametimuliwa tangu mwaka jana na bado wanalipwa mshahara me bado sijakubali mpaka nione kigogo mmoja katolewa kafara.kila siku tunasikia wezi wezi alafu sion action huu wizi wa mchanga ni wizi kama wa 200 hivi nlosikia...
Back
Top Bottom