Lowassa Rudi Kenya ukapatanishe Wakenya wasiuane

Lowassa Rudi Kenya ukapatanishe Wakenya wasiuane

Kanyunyu

JF-Expert Member
Joined
May 2, 2012
Posts
335
Reaction score
495
Najitokeza hadharani kumsihi waziri Mkuu mstaafu Mzee Edward Lowassa arudi Kenya kupatanisha mgogoro wa kisiasa uliopo Kwa sasa kati ya Odinga na Uhuru kuhusu uchaguzi.

Edward Lowassa ni mtu Pekee aliyeingilia siasa za Kenya, Sasa mambo yameharibika Usikae kimya mzee Laigwanan. Nenda kapatanishe Kwa Kuwa wewe Una ushawishi Kwa Jamii ya Kenya ndiyo maana ulimsaidia UHURU kupata kura nyingi.
 
yeye alishamaliza kazi yake hayo mengine hayamuhusu
na hiyo mijaruo bora iachane na vyama vingi
 
Muda siyo mrefu utawasikia wakiilaum Serikali ya Magufuli na kuitaka iwapatanishe wakat walikurupuka kwenda huko kubwata
Ni lini upinzani walishaomba serikali ikapatanishe watu wa nje?
 
Najitokeza hadharani kumsihi waziri Mkuu mstaafu Mzee Edward Lowassa arudi Kenya kupatanisha mgogoro wa kisiasa uliopo Kwa sasa kati ya Odinga na Uhuru kuhusu uchaguzi.

Edward Lowassa ni mtu Pekee aliyeingilia siasa za Kenya, Sasa mambo yameharibika Usikae kimya mzee Laigwanan. Nenda kapatanishe Kwa Kuwa wewe Una ushawishi Kwa Jamii ya Kenya ndiyo maana ulimsaidia UHURU kupata kura nyingi.

Lowassa hajawahi kuingia mahali watu wakabaki wamoja. Fuatilieni historia yake. Ule mtandao wa 2005 uliishia wapi? Mnara wa Babeli, CHADEMA nini kinaendelea?
 
Najitokeza hadharani kumsihi waziri Mkuu mstaafu Mzee Edward Lowassa arudi Kenya kupatanisha mgogoro wa kisiasa uliopo Kwa sasa kati ya Odinga na Uhuru kuhusu uchaguzi.

Edward Lowassa ni mtu Pekee aliyeingilia siasa za Kenya, Sasa mambo yameharibika Usikae kimya mzee Laigwanan. Nenda kapatanishe Kwa Kuwa wewe Una ushawishi Kwa Jamii ya Kenya ndiyo maana ulimsaidia UHURU kupata kura nyingi.
Hahahaaaa CCM mna hasira baada ya jaruo lenu kuangukia pua,

huyu aliyevaa hadi jezi kabisa utasemaje.

IMG-20171002-WA0090.jpg
 
Najitokeza hadharani kumsihi waziri Mkuu mstaafu Mzee Edward Lowassa arudi Kenya kupatanisha mgogoro wa kisiasa uliopo Kwa sasa kati ya Odinga na Uhuru kuhusu uchaguzi.

Edward Lowassa ni mtu Pekee aliyeingilia siasa za Kenya, Sasa mambo yameharibika Usikae kimya mzee Laigwanan. Nenda kapatanishe Kwa Kuwa wewe Una ushawishi Kwa Jamii ya Kenya ndiyo maana ulimsaidia UHURU kupata kura nyingi.


Kwanza sidhani hata kama Mkenya wa kawaida keshawahi kumsikia Lowasa ukiondoa labda Wanasiasa wachache!
 
Kenya mbili zipo njiani,

Watumie akili kukabiliana na hizi changamoto
 
Lowassa hajawahi kuingia mahali watu wakabaki wamoja. Fuatilieni historia yake. Ule mtandao wa 2005 uliishia wapi? Mnara wa Babeli, CHADEMA nini kinaendelea?
Kwa hiyo mauwaji ya uchaguz wa 2007 Lowasa alimsuppport nani kule?
 
Najitokeza hadharani kumsihi waziri Mkuu mstaafu Mzee Edward Lowassa arudi Kenya kupatanisha mgogoro wa kisiasa uliopo Kwa sasa kati ya Odinga na Uhuru kuhusu uchaguzi.

Edward Lowassa ni mtu Pekee aliyeingilia siasa za Kenya, Sasa mambo yameharibika Usikae kimya mzee Laigwanan. Nenda kapatanishe Kwa Kuwa wewe Una ushawishi Kwa Jamii ya Kenya ndiyo maana ulimsaidia UHURU kupata kura nyingi.
Kama anaushawishi kwanini usimshauri akagombee kwa niaba ya Raila kwenye marudio?
 
Lowassa hajawahi kuingia mahali watu wakabaki wamoja. Fuatilieni historia yake. Ule mtandao wa 2005 uliishia wapi? Mnara wa Babeli, CHADEMA nini kinaendelea?
NI kweli LOWASA akiingia mahali lazima kuwe na mifarakano mikubwa.Sio midogo.Alikuwa CCM alisababisha mifarakano mikubwa na kuikata CCM vipande vipande na kaacha majeruhi wa kisiasa na kiuchumi kibao.

Akahamia UKAWA kuingia Kasababisha mitafaruku CHADEMA NA CUF akina SLAA wakatupwa nje kama na upepo wa kimbunga na akina LIPUMBA wakajikuta nje ya CUF.CHADEMA wasubiri uchaguzi wao wa ndani mwakani watamjua LOWASA ni nani.CHADEMA IJIANDAE KUSAMBARATISHWA.

Kaenda kenya kusaidia kumelipuka mitafaruku

Lowasa na Mrema wanafanana sana kila wanapokanyaga huzua mitafaruku kuanzia CCM hadi kote walikoenda.Wana nuksi.
 
NI kweli LOWASA akiingia mahali lazima kuwe na mifarakano mikubwa.Sio midogo.Alikuwa CCM alisababisha mifarakano mikubwa na kuikata CCM vipande vipande na kaacha majeruhi wa kisiasa na kiuchumi kibao.

Akahamia UKAWA kuingia Kasababisha mitafaruku CHADEMA NA CUF akina SLAA wakatupwa nje kama na upepo wa kimbunga na akina LIPUMBA wakajikuta nje ya CUF.CHADEMA wasubiri uchaguzi wao wa ndani mwakani watamjua LOWASA ni nani.CHADEMA IJIANDAE KUSAMBARATISHWA.

Kaenda kenya kusaidia kumelipuka mitafaruku

Lowasa na Mrema wanafanana sana kila wanapokanyaga huzua mitafaruku kuanzia CCM hadi kote walikoenda.Wana nuksi.
Chifu mbona magereza yetu yapo shwari, hatusikii uasi wowote ule? Si Mrema ndo yupo mule? Acha uwongo.
 
Back
Top Bottom