Jamani,mimi nina boyfriend wangu ambae alikua ananipa habari za jamiiforum.Nilikua siujui mtandao huu lakini toka tumefahamiana mara nyingi huwa namuona yupo bize jf.
Alikua akinipa breaking news mbali mbali akisema amezitoa humu,nilivutiwa na mimi kujiunga mwaka jana.
Cha ajabu alikua ataki...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.