Recent content by Quigeza

  1. Quigeza

    Mpenzi wangu ananificha nywila yake ya JamiiForums

    Jamani,mimi nina boyfriend wangu ambae alikua ananipa habari za jamiiforum.Nilikua siujui mtandao huu lakini toka tumefahamiana mara nyingi huwa namuona yupo bize jf. Alikua akinipa breaking news mbali mbali akisema amezitoa humu,nilivutiwa na mimi kujiunga mwaka jana. Cha ajabu alikua ataki...
  2. Quigeza

    Kanikataa kwa sababu ya Ufupi...!!

    Watu wameolewa na walemavu, ije kuwa ufupi
  3. Quigeza

    Kama ulimkuta sio bikra wivu wa nini?

    Mmmh, ngumu kumeza
  4. Quigeza

    Uteuzi wa Anna: Zitto aandamwa mitandaoni, aweweseka

    Nilikua nampenda sana Zitto, ila kwa hili bora nibaki sina chama
  5. Quigeza

    Halima Mdee: Porojo za Dodoma haziniumizi

    Kapata muda wa kufanya mambo ya maendeleo sasa
Back
Top Bottom