Kama ulimkuta sio bikra wivu wa nini?

naliwe

JF-Expert Member
Feb 17, 2013
409
987
Fikilia wakati unamtokea mke wako ulimkuta yuko kwenye love na mwanaume mwingine mbaya zaidi ukampora jamaa,vile vile katika mastory na wife wako anafunguka na kukwambia wanaume aliotembea nao sio chini ya kumi ina maana ni zaidi ya hao alafu eti Leo hii unasikia mkeo kachepuka au umekuta SMS ya utata kwenye cm yake unachanganyikiiwa hahaha utafikili ulimuanza wewe,

Mlio kwenye ndoa ebu jaribuni kulifikiria na hili maana tulio weng humu tumeoa wake za watu

Wivu nilishaachaga zamani
 
Mmmh, ngumu kumeza
maneno yako yanafikirisha!!!!!Naomba nianze hili la kuoa wake za watu!nafikiri pia wameolewa na waume za watu maana kumbe wote washatembea huko duniani kabla ya kukutana kwa hiyo wao droo!Pili kwani nini kuwa na wivu:kuna vitu vingi visababishi.ndoa kwanza inatakiwa kuheshimiwa na kila mtu maana ni jambo takatifu la kutimiza malego ya Mungu na wanadamu la kuzaana na kuwa familia itakayoijaza duni hii.ndoa ni maisha hivyo ui mahali pa kuwekeza mengi,kama mapenzi,akili,nguvu,muda n.k hivyo kujua au kuhisi kuna mtu anataka kuingilia maisha yako,ukiwa kamili na timamu huwezi acha kuwa na wivu.Nimechangia kwa ufupi mno!!!!!!!!!!!!
 
maneno yako yanafikirisha!!!!!Naomba nianze hili la kuoa wake za watu!nafikiri pia wameolewa na waume za watu maana kumbe wote washatembea huko duniani kabla ya kukutana kwa hiyo wao droo!Pili kwani nini kuwa na wivu:kuna vitu vingi visababishi.ndoa kwanza inatakiwa kuheshimiwa na kila mtu maana ni jambo takatifu la kutimiza malego ya Mungu na wanadamu la kuzaana na kuwa familia itakayoijaza duni hii.ndoa ni maisha hivyo ui mahali pa kuwekeza mengi,kama mapenzi,akili,nguvu,muda n.k hivyo kujua au kuhisi kuna mtu anataka kuingilia maisha yako,ukiwa kamili na timamu huwezi acha kuwa na wivu.Nimechangia kwa ufupi mno!!!!!!!!!!!!
Mkuu umeongea maneno makubwa. mwenyezi mungu akubaliki.
 
Loh!!!kama mwanamke wako akikuambia hivyo kwamba kagawa kwa wanaume kumi basi ujue sio kumi tu ni zaidi ya 300,hao wenye vichwa 70 tu huku mitaani wanatudanganya wameenda na wanaume watatu tu itakuwa huyo wa 10?!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom