Mi naon kheri marekani sababu kuna mchanganyiko wa watu ingawa racism bado ipo na afro americans pia wanakabiliwa kama sisi waafrica
Kuliko haya mataifa ambayo yanapingan na system ya mmarekani na wanatak ku take control, haya mataifa ni mabaya zaidi
1. China
2. Russia
Kuna ubaguzi mkubwa pia...
Habar wanajf?
Naombeni msaada wa ushauri kuna mwanafunzi wa mwaka wa mwisho au tatu ( 3) muhula wa tano amesimamishwa masomo ambapo anatakiwa aingie muhula wa sita(6) kutokana na kosa la maadili ambalo halina ushahidi pia, kosa hili lilitokea akiwa mwaka wa pili muhula wa nne ambapo alibishana...
Mo sio self made ila pia ni mtu mwny mafanikio kibiashar
Maan amewez kuongez pato la dewji enterprises from million dollars to billion dollar
He's the richest enterpreneur according to forbes
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu ishu anachodai yy ni kwamba wangemfukuza baad ya tukio kutokea yaan akiwa mwaka wa pili semester 4, ss walimsajir kwa mwaka 3 na akosoma na kumaliza semester 5 wakampa barua aende field na ghafla wanampigia cmu akiwa field na kumpa barua ya kumfukuza chuo
Hapo sheria iko wapi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.