quadbillion kid
Member
- Oct 27, 2019
- 20
- 12
Habari wana jf,
Naomba tusaidiane mawazo kuna mwanafunzi wa chuo kikuu hapa nchini akifanya stashada katika masomo ya uhandisi wa umeme na elektronik mwaka wa tatu, awamu ya tano yaan amebakisha awamu moja amalize
Lakini amefukuzwa chuo juzi baada ya kumaliza awamu ya tano mwezi wa novemba, alipigiwa simu na mkuu wa idara yake kwamba anahitajik chuon maan alikw tayar amepewa kibali cha kufany field na sababu ikiwa aliingia kwnye hati hati ya kugomban na walinzi wa geti hapo chuon akiwa mwaka wa pili awamu ya nne 2019 baada ya walinzi kumtak aoneshe kitambulisho na akivae shingon, yeye alitoa kitambulisho kikiwa mfukon na kuwaonyesh hvyo walimlazimu akivae japa hakikuwa katika cover na ribbon km inavyotakiw katik hali ya kueleweshan yakatokea mabishano na kupelekea kesi kwa dean of student ambapo pia mwanafunz alizuiliwa kufnya mtihani asubuhi hyo
Mhusika (dean of student) alisikiliz ishu kumpa barua kijana ikimtak kikao na kamati ya nidhama (disciplinary committee panel) wakajadili mstakabal mzma na kumpa nafas aandike barua ya msamaha (apology letter) ilikuw ni may 2019
Baadae mwezi wa saba baad ya likizo mwanafunz alirudi chuon aliruhusiw kujisajili kuendelea awamu ya tano ambapo ameimaliza mwezi huu wa november 2019 na yametokea haya baada ya miezi sita 6
Hivyo kulingana na haya maelezo kisheria nani ana makosa na suluhu ikoje?
Naomba tusaidiane mawazo kuna mwanafunzi wa chuo kikuu hapa nchini akifanya stashada katika masomo ya uhandisi wa umeme na elektronik mwaka wa tatu, awamu ya tano yaan amebakisha awamu moja amalize
Lakini amefukuzwa chuo juzi baada ya kumaliza awamu ya tano mwezi wa novemba, alipigiwa simu na mkuu wa idara yake kwamba anahitajik chuon maan alikw tayar amepewa kibali cha kufany field na sababu ikiwa aliingia kwnye hati hati ya kugomban na walinzi wa geti hapo chuon akiwa mwaka wa pili awamu ya nne 2019 baada ya walinzi kumtak aoneshe kitambulisho na akivae shingon, yeye alitoa kitambulisho kikiwa mfukon na kuwaonyesh hvyo walimlazimu akivae japa hakikuwa katika cover na ribbon km inavyotakiw katik hali ya kueleweshan yakatokea mabishano na kupelekea kesi kwa dean of student ambapo pia mwanafunz alizuiliwa kufnya mtihani asubuhi hyo
Mhusika (dean of student) alisikiliz ishu kumpa barua kijana ikimtak kikao na kamati ya nidhama (disciplinary committee panel) wakajadili mstakabal mzma na kumpa nafas aandike barua ya msamaha (apology letter) ilikuw ni may 2019
Baadae mwezi wa saba baad ya likizo mwanafunz alirudi chuon aliruhusiw kujisajili kuendelea awamu ya tano ambapo ameimaliza mwezi huu wa november 2019 na yametokea haya baada ya miezi sita 6
Hivyo kulingana na haya maelezo kisheria nani ana makosa na suluhu ikoje?