quadbillion kid
Member
- Oct 27, 2019
- 20
- 12
- Thread starter
- #21
Mkuu ishu anachodai yy ni kwamba wangemfukuza baad ya tukio kutokea yaan akiwa mwaka wa pili semester 4, ss walimsajir kwa mwaka 3 na akosoma na kumaliza semester 5 wakampa barua aende field na ghafla wanampigia cmu akiwa field na kumpa barua ya kumfukuza chuoVYEKELEA MBALI AENDE MTAANI AMBAKO USIPOVAA KITAMBULISHO HAKUNA WA KUKUULIZA
Hapo sheria iko wapi?