Kama humu wote tutasoma kimombo vzr na kuelewa
Gazeti hilo limeandika ukweli mtupu .Penda usipende matendo ya bwana mkubwa yote yamechambuliwa mubashara
Sasa mnataka tusiwaje kama tunafanya aliyoyatasema Trump
Mungu angewezesha kufikia kofia na rungu la Nyumba nyeupe kuna watumishi wanahitaji empowerment ya hali ya juu .
Mwalimu ni kiongozi wa kwanza popote pale lakini Tz mwalimu ni sawa nothing effect kwenye jamii naumia sana kwa kazi wazofanya Walimu wetu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.