Recent content by Purity1

  1. P

    gharama na utaratibu kubadilisha jina kadi ya gari

    wanandugu habari ya weekend. tafadhali mwenye ufahamu naomba anielekeze utaratibu wa kufuata katika kubadilisha jina kwenye kadi ya gari pamoja na gharama zinazohusiana na zoezi hili. nimetembelea website ya www.tra.go.tz nimeshindwa kupata taarifa. nitashukuru sana wadau.
  2. P

    Kiwanja kinauzwa - Bunju

    Na mimi nina wasiwasi na bei hii
  3. P

    Msichana wa kazi (housegirl)

    Ureni Ahsante kwa ushauri nitauzingatia na nitatafuta mtalaamu wa sheria na HR anisaidie katika hilo na mengineyo yanayohusu ajira (so suala linalohusu sheria na haki za mfanyakazi tuliachie hapo); baada ya hilo basi naomba msaada wa taarifa wapi naweza kupata huyo mfanyakazi. nakushukuru New...
  4. P

    Msichana wa kazi (housegirl)

    wanajamii, naomba kuuliza wapi anaweza kupatikana msichana wa kazi za ndani (housegirl/housemaid). mfanyakazi aliyepo anakaribia kumaliza mkataba wake na ameamua kutoendelea na mkataba kwa sababu anataka kuanza maisha mengine. amekaa miaka takribani minne na sababu ya kutoendelea na mkataba ni...
  5. P

    Ufugaji wa Kuku wa Kienyeji na Masoko yake

    Gazeti, vijisenti, malila hao kuku (Chingwekwe na wanapatikana wapi.. naombeni details ili niwaweke kwa banda langu
  6. P

    Ufugaji wa Kuku wa Kienyeji na Masoko yake

    vijisenti unaendeleaje na mradi wako wa kuku, mabanda yako yapo wapi.
  7. P

    Mufuruki: Vijana wengi hawana sifa soko la ajira

    kwa upande mmoja mufuruki yupo sahihi; hebu jiulize wanafunzi wa UDOM waligoma kwa sababu waliambiwa hamna field.. unatgegemea mwanafunzi anayetoka UDOM atakuwa na uwezo wa kufanya kazi kwa ufanisi bila kupatiwa mafunzo ya ziada!! hilo ni lazima tulione jamani!! tusilaumu tu.. tena mimi...
  8. P

    Kituko masaki: Familia nyingine bana (hakikisheni kuna maji na TP)

    samahani sikueleweka.. msiba ulikuwa umeshatokea long time.. like more than a month ago!!
  9. P

    Kituko masaki: Familia nyingine bana (hakikisheni kuna maji na TP)

    jamani hiki ni kituko cha kweli, jana nimetoka na mwenzi wangu tukaenda kusalimia ndugu fulani ambao waliondokewa/walifiwa na ndugu yao. kwa ufupi familia hii ina uwezo mkubwa tu na wanaishi masaki. tukafika tukawakuta na kuwapa pole. wakati tupo hapo nikajisikia nataka kwenda long call (haja...
  10. P

    Ufugaji wa Kuku wa Kienyeji na Masoko yake

    wadau naomba kuuliza, watalaam wa ufugaji kuku wa mayai. naomba kujua eti kwa vifaranga unapoviweka bandani, kwenye sakafu unatanguliza maranda au unaweka kwanza magazeti. nataka nijue namna ya kutengeneza chick bedding!! nitashukuru!!
  11. P

    Ufugaji wa Kuku wa Kisasa: Fahamu Mbinu, Faida, Changamoto na Masoko

    Wadau naomba kuuliza, Watalaam wa ufugaji kuku wa mayai. naomba kujua eti kwa vifaranga unapoviweka bandani, kwenye sakafu unatanguliza maranda au unaweka kwanza magazeti. nataka nijue namna ya kutengeneza chick bedding!! Nitashukuru!!
  12. P

    Ephrahim Kibonde ana CHEO gani CCM?

    na mimi nasikia alipata division Zero Mzizima.. ....
  13. P

    Nimeamua Kulima kwa mara ya Pili kilimo cha mahindi

    elnino naona aliingia mitini, kagoma kutoa update ya wapi alifikia,. au tayari umeshakuwa milionare nini mkubwa.
  14. P

    Shamba la Miti ukanda wa Pwani

    hii kitu imekaa vizuri
Back
Top Bottom