Recent content by pumper 2 pumper

  1. P

    Ufugaji wa Nguruwe: Fahamu faida, hasara na mbinu bora za ufugaji

    Mkuu barikiwa sana. Watu wa mwanza tunapata wapi mbegu bora. Nahitaji majike mawili yenye mimba mkuu
  2. P

    MSAADA; Tatizo la tumbo kuunguruma

    Hivi kumbe hairuhusiwi kuwa wa kwanza au kuna zawadi nijulishe mdau[emoji48][emoji48]
  3. P

    Miliki kiwanja kizuri chenye hati na kwa gharama nafuu.

    Weka namba tuanze kupatana hopefully bei utashuka kidogo.
  4. P

    Walimu wa Kwiro wengi wao ni vilaza

    Pole sana lakini tatizo sio walimu peke yake pia wanafunzi wa zama hizi. Nikipita hapo 1999 A Level ya kwanza chini ya headmaster Vaginga. Hatukuwa na walimu kabisa ila mazingira ya utulivu yalitusaidia. Wengi tulikuwa tunachelewa kurudi shule muda mwingi tulitafuta lecture notes za kina...
  5. P

    Miliki kiwanja kizuri chenye hati na kwa gharama nafuu.

    Nahitaji kimoja sehemu iwe na maji na umeme karibu .
  6. P

    MSAADA; Tatizo la tumbo kuunguruma

    Tusubiri wadaktari waje
  7. P

    Makonda: Hii dunia sio mali ya Mungu

    Shida kubwa hapa ni mihemuko na hasira sipendi kuita wivu. Makonda amezungumza vizuri tu. Kwamba kwa nyakati hizi mapepo yametawala duniani na si ya mungu tena watu wanamuabudu shetani kuliko mungu. Nilitegemea watu wa mungu kuunga mkono na sio kumpinga maana ndio tunayoyaona sasa.
  8. P

    Ufugaji wa Nguruwe: Fahamu faida, hasara na mbinu bora za ufugaji

    Great idea. Ninafikiria hivyo hivyo. Kwa mwanza.Kimsingi ukienda nchi za wenzetu utaona watu wanafurahia nyama hapa kwetu tunauziwa mifupa. Ukiweza kuongea thamani ukatengeneza pork products like sausage...beacon...pork ribs na fillets unauza.
  9. P

    Nanunua nyama ya kitimoto kwa wanaouza

    Bei gani unatoa kwa kilo ikifika Dar
  10. P

    James Orengo vs Tundu Lissu

    Mada nzuri ila ngoja nikae pembeni siwezi kumfananisha ORENGO na vitu vya ajabu. Sent using Jamii Forums mobile app
  11. P

    Tundu Lissu, tunduni - na Jerry C. Muro

    Sioni hoja inayopinga post zaidi ya madhambulizi ya kishabiki. Post nzuri leteni hoja zenye mashiko. Sisi tupo kwa kujifunza Sent using Jamii Forums mobile app
  12. P

    Hili ni jaribio la 3 la Clouds FM kumshusha Diamond, naamini utashinda tu

    Sawa umeeleweka team Mondi Sent using Jamii Forums mobile app
  13. P

    Historia fupi ya deni la Stirling Civil Engineering Ltd

    Hizi ni ndoto za mchana Sent using Jamii Forums mobile app
  14. P

    Kenyan election 2017 was more vibrant,viewed and talked about world wide than Tanzanian 2015 elections.

    This shows how much some idiot Kenyan not all offcourse try to compare every things with Tanzania. Tanzanian are silence but time will tell. Tanzania has all foundation for development it's just a matter of time. Currently the development you have over TZ is due to colonial history among others...
Back
Top Bottom