Pole sana lakini tatizo sio walimu peke yake pia wanafunzi wa zama hizi. Nikipita hapo 1999 A Level ya kwanza chini ya headmaster Vaginga. Hatukuwa na walimu kabisa ila mazingira ya utulivu yalitusaidia. Wengi tulikuwa tunachelewa kurudi shule muda mwingi tulitafuta lecture notes za kina...
Shida kubwa hapa ni mihemuko na hasira sipendi kuita wivu. Makonda amezungumza vizuri tu. Kwamba kwa nyakati hizi mapepo yametawala duniani na si ya mungu tena watu wanamuabudu shetani kuliko mungu. Nilitegemea watu wa mungu kuunga mkono na sio kumpinga maana ndio tunayoyaona sasa.
Great idea. Ninafikiria hivyo hivyo. Kwa mwanza.Kimsingi ukienda nchi za wenzetu utaona watu wanafurahia nyama hapa kwetu tunauziwa mifupa. Ukiweza kuongea thamani ukatengeneza pork products like sausage...beacon...pork ribs na fillets unauza.
Sioni hoja inayopinga post zaidi ya madhambulizi ya kishabiki. Post nzuri leteni hoja zenye mashiko. Sisi tupo kwa kujifunza
Sent using Jamii Forums mobile app
This shows how much some idiot Kenyan not all offcourse try to compare every things with Tanzania. Tanzanian are silence but time will tell. Tanzania has all foundation for development it's just a matter of time. Currently the development you have over TZ is due to colonial history among others...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.