Walimu wa Kwiro wengi wao ni vilaza

Walimu wa Kwiro wengi wao ni vilaza

emkey

JF-Expert Member
Joined
Mar 15, 2011
Posts
728
Reaction score
137
Ni muda mrefu sasa nimefanya utafiti na kugundua kuwa walimu wa sekondari ya kwiro hawana sifa za kufundisha kwani wengi hawajui kufundisha hasa wa masomo ya science na uchumi. Tunaomba serikali iliangalie hili tatizo.
 
umefanya utafiti kuwa serikali sikivu huwa inapeleka walimu vilaza tu Kwiro? Jiangalie sana unapotumia neno "UTAFITI", wanafunzi wa kwiro punguzeni kunywa ulanzi na tekawima, punguzeni kuzamia mahema, punguzeni kutoroka kwenda kula vikonda afu muwe na nidhamu na msome kwa bidii afu tuone kama mtafeli!
 
msweken umenikumbusha Uswekeni na Riverside.
 
Last edited by a moderator:
f396ee74cbd23c8096a763b1642bac72.jpg
 
Ni muda mrefu sasa nimefanya utafiti na kugundua kuwa walimu wa sekondari ya kwiro hawana sifa za kufundisha kwani wengi hawajui kufundisha hasa wa masomo ya science na uchumi. Tunaomba serikali iliangalie hili tatizo.
We nae kutujazia sredi tu, kwani we hujui ni vilaza kwasababu walifeli form IV
 
Pole sana lakini tatizo sio walimu peke yake pia wanafunzi wa zama hizi. Nikipita hapo 1999 A Level ya kwanza chini ya headmaster Vaginga. Hatukuwa na walimu kabisa ila mazingira ya utulivu yalitusaidia. Wengi tulikuwa tunachelewa kurudi shule muda mwingi tulitafuta lecture notes za kina mkandawile busanji na makumaku....Pôle
 
Back
Top Bottom