Kanisa kongwe Arusha ni La Anglican high church maarufu kama Christ church liko uzunguni ni la 1930’s huko, lingine ni kanisa la Lutheran Ilboru karibia na Ilboru sec lilikuwa la Tofali za kuchoma sijui kama bado lipo! Mengine ni Lutheran Enaboishu na kwa Meru ni kule hospital ya Lutheran...
Kanisa kongwe Arusha ni La Anglican high church maarufu kama Christ church liko uzunguni ni la 1930’s huko, lingine ni kanisa la Lutheran Ilboru karibia na Ilboru sec lilikuwa la Tofali za kuchoma sijui kama bado lipo! Mengine ni Lutheran Enaboishu na kwa Meru ni kule hospital ya Lutheran...
Sana sana uwe unampatia vyakula vitamu! Halafu jua chakula anachopenda sana! Awe anapikiwa mara kwa mara! Mimi mwenyewe nilikuwa na tatizo la kutokula nilikuwa mwembamba mno hata sasa sio mnene! Hali huto ilifanya wazazi wasiwe wanasafiri na mimi! Mara nyingi wao na ndg zangu walisafiri likizo...
Mimi nmemuona miaka ya 90 na kina Shawn Michael’s Undertaker, Public Enemy, Ric Flair nk kipindi hi ho tuli kiwa tunaona kupi tia “satelite dishes” Yale maungo meusi World Cup 90 Italia tumeiona tukiwa nyumbani kupitia madishi so ni possible pia kuna watu waliwaona 70’s na 80’s
Karatu ipi unaizungumzia hoi karatu ilyojaa mahoteli maku wa ya kitalii au karatu nyingine??? Pale karatu kabury tu Ana lodge 3 za hadhi ya nyota 3! Karatu kuna hotel kali za kitalii kuliko hats Singida, Tabora na Shinyanga combined
Nakumbuka miaka ya mwishoni 1990’s wimbi la wizi wa majumbani lilikuwa limeshamiri sana Arusha, kipindi kile walikuwa wanatembea kundi la wezi Kati ya 40-50. Sasa wakawa wamevamia nyumba za jirani sisi tukawa tumeamka dingi hakuwepo alikuwa safari, kijana mkubwa aliyekuwepo alikuwa ni baba mdogo...
Kama ni hivyo tuhuma za kuharibu uchaguzi wa CCM kwa kulazimisha watu wa timu EL (Ngonyani) wapitishwe kwenye ubunge ni za kweli muda sio mrefu Orioo Mzee wa Anjera from Nzega atafatia
Ndiyo Mariam mtoto wa Mwalimu Masenge na dentist (Dr. Masenge) kuzaliwa Arusha na kukulia Arusha Sanawari Ni Wahangaza wa Ngara ulitaka kusema nini Kwani??
Mwalimu mwenye degree ni mwalimu daraja C
Atakuwa daraja 1C,2C, 3C nk kutegemea na muda wa utumishi wake
Mwalimu mwenye diploma ni mwalimu daraja B
Atakuwa daraja 1B,2B, 3B nk kutegemea na muda wa utumishi wake
Mwalimu mwenye cheti (grade A)ni mwalimu daraja A
Atakuwa daraja 1A,2A, 3A nk...
Kosa la Nani sasa? Mfano mimi mama yangu (Marehemu) alizaliwa na kukulia Shinyanga mjini mtaa wa viwandani! Mama yake (Bibi) na baba yake (babu) washafariki hpo nyumbani hakunaga mtu tena nyumba iliyokuwepo imepangishwa ndugu wote wako sehemu tofauti tofauti. Upande wa baba baba yangu alizaliwa...
Mke wa Makonda Miriam ni Muhangaza Kazaliwa na kukulia Arusha! Mama yake ni mwalimu Masenge Amekuwa mwalimu mkuu wa shule za Sanawari na Kijenge na baba yake ni Dr. Masenge dentist maarufu tu hapa Arusha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.