Recent content by PSYCHOLOGY

  1. P

    JamiiForums Tanzania Jakaya: Tunakupa wiki mbili, la sivyo ujiuzulu.

    shinikizo lianzie mji gani? Mapinduzi au mabadiliko?
  2. P

    JamiiForums Tanzania Kuonesha au kumuweka picha!.

    Habar wana JF! Hivi nmakosa kama rafiki yangu hamjui Mh Lissu ..kisha nikamtumia picha yake? - Mbona wikipedia hakuna picha ya rais wa pili wa Zanzibar? Je kama mie ninayo naweza kuwatumia? Au ni jinai kuiweka sehemu yeyote...hasa kumuonesha rafiki au jamii ...ni kwa nia nzuri tu...ili...
  3. P

    JamiiForums Tanzania RIP John Ngahyoma

    Habari. Nmesikia Mtangazaji aliekua akiripoti habari za BBC wa hapa kwetu Bongo amefariki leo asubhi. Source: Radio Tumain, mtangazaji wakati wa kipindi cha magazeti...nae ametumiwa msg! Akaisoma on air.
  4. P

    JamiiForums Tanzania Chukua tahadhari unapojiunga na mitandao ya kijamii

    Hawa wanaokula viboga wenzao...wamezoea style ya sukuma mbuzi! Sijui chuma mboga...loooooh!
  5. P

    JamiiForums Tanzania Kwanini makalio yao wanawake ndio kivutio zaid?

    kila jambo lina kianzio chak bana! Hapo ndio centre ndugu zangu! Kila kitu muhimu kipo maeneo hayo ya kati...kwa meee na nke!. Duh!
  6. P

    JamiiForums Tanzania Uonevu unaofanywa na Maofisa wa polisi wa Upelelezi hapo Airport Dares-Salaam

    Hii ikikutokea tena usijibishane nao...wewe tafuta ofisi zao hapo ukawajuze maboss wao. Lakin ukiondoka eneo hilo ndio ukawalalamikie they don't care for you! Watakwambia unawasingizia! Hiyo ilinitokea japo hawakunichania bag ila waliharib lock sikugundua mpaka nlipofika home...nlipoenda...
  7. P

    JamiiForums Tanzania ITV kipindi cha malumbano ya hoja!

    alisimama jamaa mmoja yeye aliweka sawa neno ''miaka 50 ya uhuru wa Tanzania'' akawaeleza si kweli. Maana tanganyika ndio ilipata uhuru kabla ya muungano wa nchi ya Zanzibar. Hivyo waseme ni miaka 50 ya uhuru wa Nchi ya Tanganyika. Ilikua nzuri sana.
  8. P

    JamiiForums Tanzania ITV kipindi cha malumbano ya hoja!

    Baba mwingine kutoka kanda ya ziwa huko mwanza...anasema wazee hasa waliopo kijijin ndio wenye mali lakin hawawezeshwi kupewa mikopo. Ilhali wao ndio wenye mifugo mingi na mashamba makubwa makubwa.
  9. P

    JamiiForums Tanzania ITV kipindi cha malumbano ya hoja!

    mama mwingne kutoka moshi anawalaum wanaowanyamanzisha wale wafuatailiaji...amesema hawataki tena hiyo tabia. Kama nikupewa pension wapewe wote. Pia hawahitaji maneno yao ya kusema ''tupo kwenye mchakato'' aksema hayo maneno yasemwe huku wao wanapewa chao.
  10. P

    JamiiForums Tanzania ITV kipindi cha malumbano ya hoja!

    Habari JF!. Naangalia kipindi hicho...mama mmoja kutoka kigoma wilaya ya kasulu....amewachana ...yaan wazee wanalalamika kutengwa na kunyanyaswa...wanahitaji muwakilishi wao mjengoni.
  11. P

    JamiiForums Tanzania Mzungu Omba Omba ndani ya Dar

    Sijui nani kawadanganya kuhusu wazungu au ngozi nyeupe ndio wenye neema? Nawapenda wa Kenya!
  12. P

    JamiiForums Tanzania Kero ya wananchi

    ..nami nlipita kama miezi miwili nyuma kutokea cvu...nlipofika kona ya kuingigia ocean road nkaliona hilo tangazo lao...lakin lilikataza mda wa jion si asubhi. Nkajua hao askar huwa hawana taratib za kufuata sheria wao hufuata amr wanazopewa...nkakunja kulia sikunyoosha! Pole member!.
  13. P

    JamiiForums Tanzania tiGO mtavunja ndoa za watu!

    Japo siku hizi wamezidiwa...na wizi ni mwingi. Siwezi hama ajili ya kupatikana nje ya nchi. Kwan nautumia nkiwa hapa hapa ndani ya nchi.
  14. P

    JamiiForums Tanzania Majaji wa rufaa tanzania

    Namba 8 nampa big up!
  15. P

    JamiiForums Tanzania Taarifa Muhimu - Tafadhali Soma Hapa

    Akachangie kule fesikibuku! Na mapicha akabandike!
Back
Top Bottom