ITV kipindi cha malumbano ya hoja!

ITV kipindi cha malumbano ya hoja!

PSYCHOLOGY

Senior Member
Joined
Feb 10, 2011
Posts
177
Reaction score
14
Habari JF!.
Naangalia kipindi hicho...mama mmoja kutoka kigoma wilaya ya kasulu....amewachana ...yaan wazee wanalalamika kutengwa na kunyanyaswa...wanahitaji muwakilishi wao mjengoni.
 
mama mwingne kutoka moshi anawalaum wanaowanyamanzisha wale wafuatailiaji...amesema hawataki tena hiyo tabia. Kama nikupewa pension wapewe wote. Pia hawahitaji maneno yao ya kusema ''tupo kwenye mchakato'' aksema hayo maneno yasemwe huku wao wanapewa chao.
 
Baba mwingine kutoka kanda ya ziwa huko mwanza...anasema wazee hasa waliopo kijijin ndio wenye mali lakin hawawezeshwi kupewa mikopo. Ilhali wao ndio wenye mifugo mingi na mashamba makubwa makubwa.
 
alisimama jamaa mmoja yeye aliweka sawa neno ''miaka 50 ya uhuru wa Tanzania'' akawaeleza si kweli. Maana tanganyika ndio ilipata uhuru kabla ya muungano wa nchi ya Zanzibar. Hivyo waseme ni miaka 50 ya uhuru wa Nchi ya Tanganyika. Ilikua nzuri sana.
 
Huku kwe2 Arusha mtaa Sakina ITV haionekanigi ni mwezi wa pili sasa. Haina masaada kwa Watanzania wazalendo. Ni mzigo tu! Na cjui Meghi kama anajua hili.
 
Back
Top Bottom