Recent content by PSPA Pure'12 udsm

  1. PSPA Pure'12 udsm

    Bunge, Serikali na Mahakama, Sio Mungu, Sio Malaika, Zinaweza Kukosea!. Zinapokosea, Zina Wajibu Kurekebisha na Kutenda Haki, Vinginevyo Karma Will Do

    DPW wamebadilisha kabisa uelekeo wa siasa za mama na imani ya watanzania wengi imegawanyika. sio yeye tu, bali hata wasaidizi wake wengi, kwa ufupi serikali nzima wamegawanya mitazamo na imani. kuna wanaoendelea kuwaamini na wale wamepoteza kabisa matumani. Binafsi naona serikali haijachelewa...
  2. PSPA Pure'12 udsm

    Apandishwa mahakamani kwa madai ya kuitukana Serikali juu ya deni la Taifa

    Huyo mtuhumiwa kama ametukana hii serikali tukufu, sikivu na inayojali wananchi na kutimiza wajibu wake. Anastahili adhabu kali....
  3. PSPA Pure'12 udsm

    Naunga mkono suala la kubinasifisha Bandari ya Dar es Salaam

    kubinafsisha kupo kwa aina mbili. mojawapo ni kuwapa watu wa ndani na aina nyingine ni kuwapa wawekezaji wa nje. Hapa kweli tunaweza kuwawezesha wawekezaji wetu wa ndani na kuisimamia bandari na mashirika mengine yakaendeshwa kwa tija na kwa faida zaidi kuliko kuiachia serikali wakati kila mwaka...
  4. PSPA Pure'12 udsm

    Mchakato wa katiba mpya unapaswa kuanzia hatuza za awali.

    Sababu kubwa inayotolewa ya kwanini tunahitaji katiba mpya na si kufanya marekebisho kwenye katiba ya sasa, ni kwamba Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977 haikushirikisha wananchi. Kama ni mapungufu yangefanyika marekebisho na kukidhi mahitaji ya sasa kama ambavyo Katiba ya...
  5. PSPA Pure'12 udsm

    Baadhi ya Vitabu nilivyosoma mwaka 2021 – Zitto Kabwe

    Nimemaliza mwaka kwa kuvunjiwa duka langu na wezi, na baada ya miezi 2 wakavunja nyumbani. Nafurahi naumaliza mwaka nikiwa mwenye afya tele na tabasamu usoni licha ya mapito mengi. Mungu akijaalia mwakani nitaendelea kusoma "Tumwabudu Mungu, na Biblia Takatifu" kama miaka mingine.
  6. PSPA Pure'12 udsm

    Chadema, P'se, Msisusie Mkutano wa Vyama, Wasilisheni Hoja Zenu Mezani, Zitamfikia Samia, Ana Nia Njema na Nchi Hii, Mpeni Ushirikiano!.

    Nawapongeza sana CHADEMA na NCCR kwa kugomea ushiriki kwenye kikao hiki haramu cha kuwasafishia njia watesi. Nchi imevimba toka 2015. Hakuna nafasi ya kupumua kwa wapinzani. Nia njema ya mama Samia ilipaswa kuonekana mwanzo kabisa kwa kukutana na Wapinzani kama Agenda yake ya mwanzo kabisa...
  7. PSPA Pure'12 udsm

    Mahakama yatupilia mbali mapingamizi ya utetezi, maelezo ya Mohamed Lingw'enya yapokelewa na Mahakama. Kesi kuu kuendelea Des. 15, 2021

    Ifike wakati hizo "Court sessions" ziwe broadcasted live tu kama majirani zetu Kenya...ili majaji kama wanapora haki ya mtu Umma ujue. Hata mambo ya kureport yanapotosha sana. Mahakama ilipaswa kuwa ndio chombo huru zaidi, na wazi zaidi kuliko mihimili mingine kwani ndiko sehem ya juu zaidi...
  8. PSPA Pure'12 udsm

    Mahakama yatupilia mbali mapingamizi ya utetezi, maelezo ya Mohamed Lingw'enya yapokelewa na Mahakama. Kesi kuu kuendelea Des. 15, 2021

    Huyu jaji mpya toka amefika, hajawahi rule against Oppressors. It's like hukumu anayo lkn anafata protocol tu..... Ngoja tuone leo kama kwa Mara ya kwanza atafanya kitu tofauti.
  9. PSPA Pure'12 udsm

    Saed Kubenea amburuza Paul Makonda Mahakamani, kupanda kizimbani Desemba 3, 2021 kwa makosa ya jinai

    Kubenea anaenda kukata kiu ya mamilioni nikiwepo mimi. Bila kujali mahakama itaenda kuamuaje, lakini tu kufika viunga vya mahakama inatosha. Jah Bles
  10. PSPA Pure'12 udsm

    Kiburi cha Polepole kimefika mwisho

    Wakati mwingine madaraka makubwa huwalevya vijana. Polepole alilewa, mpaka sasa ana hang over.
  11. PSPA Pure'12 udsm

    Jaji Francis Mutungi atangaza kuzuia Mikutano na Makongamano ya Vyama vya Siasa kwa muda kutafuta suluhu

    Amesimamisha kwani kabla ya Hili zuio, wapi kumefanyika mkutano, kongamano au vikao vya kisiasa? Seems hakuwepo nchini ama hakuwa anafanya kazi yake kama custodian wa vyama vya siasa. Hata hivyo, hayo mamlaka ameyapatia wapi??? NB; Hayo maelezo hayakihusu CCM kama chama cha siasa.
Back
Top Bottom