DPW wamebadilisha kabisa uelekeo wa siasa za mama na imani ya watanzania wengi imegawanyika. sio yeye tu, bali hata wasaidizi wake wengi, kwa ufupi serikali nzima wamegawanya mitazamo na imani. kuna wanaoendelea kuwaamini na wale wamepoteza kabisa matumani.
Binafsi naona serikali haijachelewa...
kubinafsisha kupo kwa aina mbili. mojawapo ni kuwapa watu wa ndani na aina nyingine ni kuwapa wawekezaji wa nje. Hapa kweli tunaweza kuwawezesha wawekezaji wetu wa ndani na kuisimamia bandari na mashirika mengine yakaendeshwa kwa tija na kwa faida zaidi kuliko kuiachia serikali wakati kila mwaka...
Sababu kubwa inayotolewa ya kwanini tunahitaji katiba mpya na si kufanya marekebisho kwenye katiba ya sasa, ni kwamba Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977 haikushirikisha wananchi. Kama ni mapungufu yangefanyika marekebisho na kukidhi mahitaji ya sasa kama ambavyo Katiba ya...
Nimemaliza mwaka kwa kuvunjiwa duka langu na wezi, na baada ya miezi 2 wakavunja nyumbani.
Nafurahi naumaliza mwaka nikiwa mwenye afya tele na tabasamu usoni licha ya mapito mengi.
Mungu akijaalia mwakani nitaendelea kusoma "Tumwabudu Mungu, na Biblia Takatifu" kama miaka mingine.
Nawapongeza sana CHADEMA na NCCR kwa kugomea ushiriki kwenye kikao hiki haramu cha kuwasafishia njia watesi.
Nchi imevimba toka 2015. Hakuna nafasi ya kupumua kwa wapinzani. Nia njema ya mama Samia ilipaswa kuonekana mwanzo kabisa kwa kukutana na Wapinzani kama Agenda yake ya mwanzo kabisa...
Ifike wakati hizo "Court sessions" ziwe broadcasted live tu kama majirani zetu Kenya...ili majaji kama wanapora haki ya mtu Umma ujue.
Hata mambo ya kureport yanapotosha sana. Mahakama ilipaswa kuwa ndio chombo huru zaidi, na wazi zaidi kuliko mihimili mingine kwani ndiko sehem ya juu zaidi...
Huyu jaji mpya toka amefika, hajawahi rule against Oppressors. It's like hukumu anayo lkn anafata protocol tu.....
Ngoja tuone leo kama kwa Mara ya kwanza atafanya kitu tofauti.
Amesimamisha kwani kabla ya Hili zuio, wapi kumefanyika mkutano, kongamano au vikao vya kisiasa?
Seems hakuwepo nchini ama hakuwa anafanya kazi yake kama custodian wa vyama vya siasa.
Hata hivyo, hayo mamlaka ameyapatia wapi???
NB; Hayo maelezo hayakihusu CCM kama chama cha siasa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.