Recent content by prospertutuu

  1. prospertutuu

    Nimegundua mchumba wangu ni shoga, nifanyaje?

    Hahahahaaa eti maji taka Sent from my iPhone using JamiiForums
  2. prospertutuu

    TBS hizi nguo za kichina mnaziona?

    Una uhakika na unachokisema?
  3. prospertutuu

    Kibali cha kuomba tena kazi utumishi

    Siku hizi ajira zote zinapita utumishi au kusimamiwa na utumishi halafu hakuna taasisi isiyotumia check number kwasababu mishahara yote inatoka hazina
  4. prospertutuu

    Majibu ya Bodi ya Mikopo Kuhusu Barua ya Wazi kwa Magufuli: Sheria ya Bodi ya Mikopo ya 2016

    Yaani hawa HESLB wako na shida mahali na wala raisi hausiki hapo wanachotakiwa kufanya ni kutenda haki tuu yaani unachodaiwa ndo ulipe na wajitahd wawapate wanufaika wote na hiyo 6% waitoe kwasababu inaumiza isitoshe huo mkopo hukupewa kwa mkupuo bali kidogo kidogo kila mwaka
  5. prospertutuu

    Wafanyakazi Sahara Media Group wamuandikia Rais Magufuli barua ya wazi

    Hapo kukamata mali ndo pazuri lakini inaonekana waliopewa hayo mamlaka ikiwa ni pamoja na shirika la hifadhi ya jamii la taifa (NSSF) wameshindwa kuifanya kazi yao ipasavyo pamoja na Mahakama kuna mahali wanalega kwahyo wanatakiwa kushughulikiwa
  6. prospertutuu

    Series (Special thread)

    Wadau naomba mnisaidie jinsi ya kudownload au kupata series ya Jumong yenye English subtitles
  7. prospertutuu

    Ukweli mchungu: Vijana wengi wanaohitimu VETA wapo vizuri zaidi ya wahitimu wa vyuo vikuu

    Mtoa mada nahc wala hata siyo technician manake mhandisi hawezi reason eti mtu wa veta anajua zaidi kuliko mhandisi Sent using Jamii Forums mobile app
  8. prospertutuu

    Mtwara: Mganga anayetoa dawa kwa kumuingilia mwanamke kimwili akamatwa

    Kwa kweli mimi nimemshangaa sana huyo kamanda wa polisi eti wanamtuhumu mganga kwa ubakaji mimi hata sioni hiyo kesi ya ubakaji ninachoona hapo ni urubuni na pengine labda utapeli Sent using Jamii Forums mobile app
  9. prospertutuu

    DAWASCO mnaposoma mita kwanini msituambie mita inasomaje siku hiyohiyo?

    Yaani DAWA SIKO wamenichosha hizo ankara nahisi huwa wanazibuni manake waliniletea ankara kuubwa lakini nikisoma mita yangu bado haijafika huko nilipoenda kuwa uliza wakaniuliza mita yako sasa inasoma ngapi nikawatajia basi wakaniambia lipia ulichosoma sisi tutarekebisha halafu baadae nashangaa...
  10. prospertutuu

    Medical Students are not Creative than engineering students?

    Kwanza inabidi ufahamu kuna tofauti ya ufundi na uhandisi
  11. prospertutuu

    Medical Students are not Creative than engineering students?

    Uwii mtoa mada tatizo hana uelewa fani zote alizozileta hapa kwa mfano mechanical engineer siyo fundi lazima alijue hilo halafu ndo Tuendelee
  12. prospertutuu

    Bei ya sukari nchini yashuka kwa Sh,1500

    Sasa hiyo bei ya 2500 ndo tuliokuwa tukinunua kabla ya kupanda na kufikia 3500 hebu kuwa serious bana. Kwa kifupi sukari bado ni ghali
  13. prospertutuu

    Tundu Lissu ahojiwa redioni, adai tumepata uongozi mbaya kuliko wa Kikwete

    Huyu jamaa namwelewa sana. Kinachonishangaza ni jinsi jeshi la polisi linavyomwandama kwakweli nchi hatutafika kwa mtindo huu
Back
Top Bottom